Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania kupata Katiba wanayoitaka?

Aprili, 2012, Rais Jakaya Kikwete alitangaza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania ikiwa ni mwanzo wa mchakato wa kuelekea kupata Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Si rahisi kupata katiba inayoakisi maoni ya Watanzania!

SINA tumaini kwamba tunaweza kupata katiba inayoakisi maoni ya wananchi  walio wengi. Sasa hivi nimepoteza hamu ya kufuatilia mjadala wa uandikaji wa katiba mpya bungeni. Nimepata sononeko la moyo. Tulichotamani...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watanzania washauri kupata elimu ya kuendesha biashara

DSC08515

Mwenyekiti wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB tawi la Singida,Kyoma (katikati) akifuatilia mada zilizokuwa zinatolewa kwenye semina yao ya siku moja.Wa kwanza kulia ni katibu wa klabu hiyo,Welu Ntandu na kushoto ni makamu mwenyekiti,Elizabeth Masawe.

DSC08517

Meneja Mahusiano na Biashara wa makao makuu NMB jijini Dar-es-salaam, Dickson Mpangarawe (wa kwanza kushoto),akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwenye semina ya siku moja iliyohudhuriwa na wananchama wa klabu ya wafanyabiashara wa tawi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tunisia kupata katiba mpya

Wabunge nchini Tunisia wameanza kupigia kura rasimu ya katiba mpya ambayo ilipaswa kupitishwa miaka kadhaa iliyopita

 

10 years ago

Mwananchi

Hali hairuhusu kupata Katiba

Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakitarajiwa kuendelea na vikao mjini Dodoma kesho, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Antony Lusekelo, amesema kuwa hali ya kisiasa hairuhusu nchi kupata Katiba Mpya kwa sasa, akishauri Bunge hilo kusitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani.

 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania Waishio Nje ya Nchi sasa Kupata Filamu za Kitanzania Kupitia Mtandao


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kuuza filamu za Proin mtandaoni. Muigizaji Emmanuel...

 

10 years ago

Mwananchi

ALAT kupata fursa Katiba Mpya

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amewasilisha katika Bunge Maalumu, mapendekezo ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) ya kuongezwa kwa sura mpya katika mchakato wa Katiba.

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO‏


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Tusipotumia fursa hii kupata katiba tutajuta

Vikao vya Bunge la Katiba vinatarajiwa kuanza tena Agosti mwaka huu baada ya kusimama kwa muda kupisha Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani