Watanzania washauri kupata elimu ya kuendesha biashara
Mwenyekiti wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB tawi la Singida,Kyoma (katikati) akifuatilia mada zilizokuwa zinatolewa kwenye semina yao ya siku moja.Wa kwanza kulia ni katibu wa klabu hiyo,Welu Ntandu na kushoto ni makamu mwenyekiti,Elizabeth Masawe.
Meneja Mahusiano na Biashara wa makao makuu NMB jijini Dar-es-salaam, Dickson Mpangarawe (wa kwanza kushoto),akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwenye semina ya siku moja iliyohudhuriwa na wananchama wa klabu ya wafanyabiashara wa tawi la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wanawake 600 kupata elimu ya biashara
ZAIDI ya wanawake 600 jijini Mwanza, watapata elimu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, uwekaji akiba na afya bora. Wanawake na vijana kutoka wilaya za Magu, Ilemela, Misungwi na Nyamagana watashiriki...
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Watanzania washauri kufuata mfano wa kliniki za Kisukari
Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kushilikiana na Shirika la kisukari kimataifa la International Diabetes Federation (IDF) walianzisha Siku ya Kisukari Duniani mnamo mwaka 1991 ili kuadhimisha kuzaliwa kwa mwanasayansi Frederick Banting ambaye kwa kushirikiana na Charles Best aligundua tiba muhimu kwa wagonjwa wa kisukari ya insulin mnamo mwaka 1922.
Novemba 14 Kila mwaka mashirika ya kiserikali, mashirika binafsi, wagonjwa wakisukari na wadau mbalimbali hukutana ili kuadhimisha siku hii...
5 years ago
Michuzi
Teknolojia inavyotuwezesha kuendesha maisha na biashara

Mbali na njia mbalimbali za kupambana na maambukizi kama kufunga shule na kuzuia mikusanyiko, Watanzania wengi pia sasa wanatumia njia za kidijitali zaidi kuwasiliana na kuendesha maisha na shughuli zao za kila siku kwa sababu maisha lazima yaendelee. Ama kweli sasa kuungana kidijitali limekuwa jambo muhimu sana.
Mawasiliano ya kidijitali...
10 years ago
StarTV28 Dec
Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.
Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.
Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.
Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...
10 years ago
Michuzi
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Waungana kuendesha elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi
10 years ago
GPL
AIRTEL FURSA YAWEZESHA VIJANA ZAIDI YA 200 ARUSHA MBINU ZA KUENDESHA BIASHARA ZAO
5 years ago
Michuzi
RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
10 years ago
Michuzi.jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?