Teknolojia inavyotuwezesha kuendesha maisha na biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-otXIphiOreQ/Xq_tXlEvqXI/AAAAAAALpAQ/F7-_zyeNtHQAW8V28scS9owcrDb1qen9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B12.01.47%2BPM.jpeg)
Hali inaonesha kwamba, nchi nyingi duniani zimeathirika na homa ya kirusi cha korona na athari hizi huenda zikabaki katika maisha ya watu kwa muda mrefu.
Mbali na njia mbalimbali za kupambana na maambukizi kama kufunga shule na kuzuia mikusanyiko, Watanzania wengi pia sasa wanatumia njia za kidijitali zaidi kuwasiliana na kuendesha maisha na shughuli zao za kila siku kwa sababu maisha lazima yaendelee. Ama kweli sasa kuungana kidijitali limekuwa jambo muhimu sana.
Mawasiliano ya kidijitali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Watanzania washauri kupata elimu ya kuendesha biashara
Mwenyekiti wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB tawi la Singida,Kyoma (katikati) akifuatilia mada zilizokuwa zinatolewa kwenye semina yao ya siku moja.Wa kwanza kulia ni katibu wa klabu hiyo,Welu Ntandu na kushoto ni makamu mwenyekiti,Elizabeth Masawe.
Meneja Mahusiano na Biashara wa makao makuu NMB jijini Dar-es-salaam, Dickson Mpangarawe (wa kwanza kushoto),akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa kwenye semina ya siku moja iliyohudhuriwa na wananchama wa klabu ya wafanyabiashara wa tawi la...
10 years ago
StarTV28 Dec
Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.
Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.
Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.
Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhyFhG-oDmpUFxTcZsJdUQbit2QU2l7qd2FHogmftZzox6vf9ZsOUq-80ZxV9WGpVsqKPzO-PhWJcyAcTC5Bq0l/1.jpg?width=650)
AIRTEL FURSA YAWEZESHA VIJANA ZAIDI YA 200 ARUSHA MBINU ZA KUENDESHA BIASHARA ZAO
10 years ago
Dewji Blog18 May
Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF, kuanzia tarehe 18 hadi 25.
Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.
Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_101.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_100.jpg)
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q_zUTOe9x3U/VksIKTLYzKI/AAAAAAAIGXk/zwXXLm9ozDw/s72-c/001MDV.jpg)
VODACOM YAJIZATITI KUBADILISHA MAISHA YA WATANZANIA KUPITIA TEKNOLOJIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-q_zUTOe9x3U/VksIKTLYzKI/AAAAAAAIGXk/zwXXLm9ozDw/s640/001MDV.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nG_N4BQoeTs/VksIKgGY8uI/AAAAAAAIGXo/TnEcWQJnKpU/s640/004MDV.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-enpdSJQ7138/XphJ_dQgtaI/AAAAAAALnLM/s8q48pDMkZUx2CZaJggjMv9jENkbVr2hQCLcBGAsYHQ/s72-c/7502c379-bed5-4fb4-95cf-9a838a3e0ee4.jpg)
MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE
KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.
Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...