Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Dec
Vyuo vikuu Mzumbe,Tampere kutafiti maisha ya kaya
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Vyuo vikuu Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano zaidi kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hii inakuja wakati ambapo timu ya watu wanne toka chuo hicho maarufu cha Uingereza ikiwa Mzumbe kufanya tathmini ya kawaida ya kila mwaka kuona jinsi ushirikiano wao unavyoendelea.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s72-c/1.jpg)
TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege
![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xcuuqUANnn4/VkmOYvXeVrI/AAAAAAAIGIo/bJvMzV7Cgcc/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-otXIphiOreQ/Xq_tXlEvqXI/AAAAAAALpAQ/F7-_zyeNtHQAW8V28scS9owcrDb1qen9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B12.01.47%2BPM.jpeg)
Teknolojia inavyotuwezesha kuendesha maisha na biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-otXIphiOreQ/Xq_tXlEvqXI/AAAAAAALpAQ/F7-_zyeNtHQAW8V28scS9owcrDb1qen9ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B12.01.47%2BPM.jpeg)
Mbali na njia mbalimbali za kupambana na maambukizi kama kufunga shule na kuzuia mikusanyiko, Watanzania wengi pia sasa wanatumia njia za kidijitali zaidi kuwasiliana na kuendesha maisha na shughuli zao za kila siku kwa sababu maisha lazima yaendelee. Ama kweli sasa kuungana kidijitali limekuwa jambo muhimu sana.
Mawasiliano ya kidijitali...
10 years ago
Dewji Blog18 May
Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF, kuanzia tarehe 18 hadi 25.
Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.
Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_101.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_100.jpg)
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Serikali itaendelea kuimarisha Maisha ya Wananchi, Ellen
Na. Ally Kondo, New YorkSerikali imetahadharisha kuwa endapo mchakato wa kuandaa Agenda ya Maendeleo baada ya Mwaka 2015 unaoendelea hivi sasa katika Umoja wa Mataifa, hautazingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu, dhamira ya kufikia maendeleo endelevu itakuwa ni ndoto kwa kuwa katika kila idadi ya watu watano duniani, mmoja wao ana...
10 years ago
MichuziSerikali itaendelea kuimarisha Maisha ya Wananchi - Ellen Maduhu
Na. Ally Kondo, New York
Serikali imetahadharisha kuwa endapo mchakato wa kuandaa Agenda ya Maendeleo baada ya Mwaka 2015 unaoendelea hivi sasa katika Umoja wa Mataifa, hautazingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu, dhamira ya kufikia maendeleo endelevu itakuwa ni ndoto kwa kuwa katika kila idadi ya watu watano duniani, mmoja wao ana...