Vyuo vikuu Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano zaidi kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hii inakuja wakati ambapo timu ya watu wanne toka chuo hicho maarufu cha Uingereza ikiwa Mzumbe kufanya tathmini ya kawaida ya kila mwaka kuona jinsi ushirikiano wao unavyoendelea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...
10 years ago
Habarileo08 Dec
Vyuo vikuu Mzumbe,Tampere kutafiti maisha ya kaya
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania.
10 years ago
Habarileo21 Dec
SMZ kuendelea kuimarisha ubora wa vyuo vikuu
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali itaendelea na wajibu wake wa kuhakikisha kuwepo kwa mazingira mazuri na fursa za kutosha za elimu kwa kuimarisha ubora wa vyuo vikuu viliopo nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Vyuo vikuu Ghana vyahusishwa na IS
11 years ago
Habarileo17 Dec
'Wahitimu vyuo vikuu wajiamini'
VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakijiamini na kujipambanua kiuwezo, kutokana na elimu waliyopata wakiwa chuoni. Makamu Mkuu Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Mbeya, Profesa Joseph Kuzilwa, alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahafali ya 12 ya chuo hicho.