Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu cha Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hiyo inakuja wakati ambapo timu ya watu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Mar
Vyuo vikuu Mzumbe, Bradford kuimarisha ushirikiano
CHUO Kikuu Mzumbe na kile cha Bradford cha Uingereza vimedhamiria kuimarisha uhusiano zaidi kwa faida ya vyuo hivyo na nchi kwa ujumla. Hatua hii inakuja wakati ambapo timu ya watu wanne toka chuo hicho maarufu cha Uingereza ikiwa Mzumbe kufanya tathmini ya kawaida ya kila mwaka kuona jinsi ushirikiano wao unavyoendelea.
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...
5 years ago
MichuziTANZANIA NA NEPAL KUIMARISHA USHIRIKIANO
Katika hotuba yake, Waziri Gyawali alieleza kuridhishwa kwake kutokana na uhusiano thabiti wa kidiplomasia uliopo kati ya nchi hizi mbili ambapo zinashirikiana na kujenga hoja zinazofanana kwenye medani ya Umoja wa Mataifa, Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote, Kundi...
11 years ago
Habarileo04 Feb
Tanzania, India kuimarisha ushirikiano
TANZANIA na India zimeeleza kuridhishwa na uhusiano na ushirikiano uliopo baina yao na kusisitiza dhamira ya kweli ya kuuimarisha kwa faida ya wananchi. Hayo yalielezwa kwenye mazungumzo kati ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa India, Mohamed Hamid Ansari. Dk yuko nchini humo kwa ziara ya kikazi.
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
EPZA, Korea kuimarisha ushirikiano
TANZANIA kupitia Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), inatarajia kuanza kupata wawekezaji wengi kutoka Jamhuri ya Korea Kusini kwa faida ya nchi zote mbili. Matarajio hayo yanatokana na...
5 years ago
MichuziTANZANIA NA KUWAIT ZAAHIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO
Mazungumzo yao yalijikita katika kujadili namna bora ya kuuenzi na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia iliopo baina ya mataifa yao ili uweze kuleta tija na kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania na...
11 years ago
MichuziTANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO
11 years ago
Michuzi11 Aug
Tanzania na Jamhuri ya Korea kuimarisha ushirikiano
11 years ago
Michuzi24 Jul
TANZANIA NA SRI LANKA KUIMARISHA USHIRIKIANO