RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), akieleza kuridhishwa na maendeleo ya Mnufaika wa (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati.
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
SNV yazindua ushirikiano na FINCA kuanziasha mradi wa kuboresha maisha ya vijana 20500 waishio vijijini
Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA Tanzania, Bwana Gershom Mpangalah akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusaidia vijana wa OYE unaofanywa kati ya FINCA na shirika la maendeleo la SNV. Wanaotazama kutoka kushoto ni Mkuu wa Mradi OYE Upande wa Vijana Bwana Awadh Milas, Mkuu wa Miradi ya OYE Tanzania, Mozambique na Rwanda, Bwana Roy Van Der Drift na Mkurugenzi Mtendaji wa FINCA Bwana Ed Greenwood.
Na Mwandishi wetu
Shirika la Maendeleo la Kiholanzi SNV na...
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA KUSAGA KOKOTO PONGWE MSUNGURA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-25RhW-pcvFs/VSJle_nUhSI/AAAAAAAASBE/pj_k7YrppCc/s72-c/RUZUKU%2B1.jpg)
TASAF YAWAPATIA "MSHIKO" WA RUZUKU WATU WALIO NA KIPATO CHA UMASKINI WILAYANI KONGWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-25RhW-pcvFs/VSJle_nUhSI/AAAAAAAASBE/pj_k7YrppCc/s640/RUZUKU%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9ImSIG7g7Jc/VSJlfk-eltI/AAAAAAAASBM/Kw1f7mtRcCY/s640/RUZUKU%2B3.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Dec
Wenye daladala ‘ruksa’ kuendesha mradi DART
SERIKALI imesema haina kipingamizi kwa wamiliki wa mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu kama daladala kuendesha mfumo wa mabasi yaendayo haraka kwenye jiji hilo katika kipindi cha mpito.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-otXIphiOreQ/Xq_tXlEvqXI/AAAAAAALpAQ/F7-_zyeNtHQAW8V28scS9owcrDb1qen9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B12.01.47%2BPM.jpeg)
Teknolojia inavyotuwezesha kuendesha maisha na biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-otXIphiOreQ/Xq_tXlEvqXI/AAAAAAALpAQ/F7-_zyeNtHQAW8V28scS9owcrDb1qen9ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-04%2Bat%2B12.01.47%2BPM.jpeg)
Mbali na njia mbalimbali za kupambana na maambukizi kama kufunga shule na kuzuia mikusanyiko, Watanzania wengi pia sasa wanatumia njia za kidijitali zaidi kuwasiliana na kuendesha maisha na shughuli zao za kila siku kwa sababu maisha lazima yaendelee. Ama kweli sasa kuungana kidijitali limekuwa jambo muhimu sana.
Mawasiliano ya kidijitali...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPnUIWS9N1k/UwWjHFggc4I/AAAAAAAFOO4/sDuZQeB2AuI/s1600/unnamed+(43).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Udhalimu wautafua mradi wa ng’ombe wa Tasaf
KATIKA jitihada zake za kusaidia malezi ya watoto yatima katika Kijiji cha Ujamaa Mtumbya, wilayani Lindi Vijijini Mkoa wa Lindi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF), mwaka 2008 ulitoa...