Wenye daladala ‘ruksa’ kuendesha mradi DART
SERIKALI imesema haina kipingamizi kwa wamiliki wa mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu kama daladala kuendesha mfumo wa mabasi yaendayo haraka kwenye jiji hilo katika kipindi cha mpito.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
DART yaongeza siku usajili daladala
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umetangaza kusogeza mbele zoezi la kuandikisha mabasi ya abiria ‘daladala’ zinazopita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia...
11 years ago
Habarileo07 Apr
Daladala waitikia vyema mfumo wa DART
WAMILIKI wa mabasi ya abiria maarufu kama daladala, jijini Dar es Salaam wameendelea kujitokeza kwa wingi kuandikisha mabasi yao kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kufanikisha awamu ya kwanza ya mradi huo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1_EmfXpIwKA/U32lg_SFtTI/AAAAAAAFkXE/JlHxDHkl2zk/s72-c/unnamed+(16)+(1).jpg)
DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-1_EmfXpIwKA/U32lg_SFtTI/AAAAAAAFkXE/JlHxDHkl2zk/s1600/unnamed+(16)+(1).jpg)
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...
10 years ago
TheCitizen24 Aug
Daladala, Uda sign pact on Dart project
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo
MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wvr0XQGcwVQ/VnKy2x0xdsI/AAAAAAAINIM/F7DhfVd4yjs/s72-c/baf.png)
WACHEZAJI WAPYA WENYE ITC RUKSA KUTUMIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-wvr0XQGcwVQ/VnKy2x0xdsI/AAAAAAAINIM/F7DhfVd4yjs/s640/baf.png)
TFF itatoa leseni ya usajili wa mchezaji ambaye amethibitishwa kupitia mtandao wa TMS baada ya kuwepo nyaraka zote; mkataba uliomalizika, barua ya kuvunja mkataba, barua ya kuachwa (release letter), mkataba mpya na uthibitisho wa...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Majaliwa akagua mradi wa DART
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Watendaji wa Mradi wa Mabasi yaendeyo haraka DART ofisini kwake kabla ya kufanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19, 2015.Kulia Kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora, George Siumbachawene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ndani ya basi la Mradi wa Mabasi yaendayo haraka DART kwenye kituo cha Feri jijini Dar es salaam akati alipofanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19,...