Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo

MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...

 

11 years ago

Michuzi

DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi

Wamiliki wa mabasi ya usafiri wa abiria jijini Dar es Salaam na wadau wengine muhimu wanatarajia kukutana kwenye Ukumbi wa Karimjee jumamosi asubuhi kujifunza fursa na kufahamu jinsi wanavyoweza kuwa washiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa

Ofisi ya akala wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), imesema wamiliki wa daladala watakaoathirika na mradi huo watakuwa na nafasi ya kuuendesha katika mfumo wa hisa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

10 years ago

Habarileo

SBL yazindua kampeni kufikia malengo

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wamiliki wa daladala imarisheni kampuni’

WAMILIKI wa mabasi ya abiria jijini Dar es Salaam (Daladala) wametakiwa kuimarisha kampuni ya Mzizima Dar es Salaam Express, ili kuwawezesha kuwa na sifa na nguvu ya kushiriki mchakato wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ndugai: Tutamsadia Rais kufikia malengo yake

Waandishi wetu, DEUS BUGAYWA na JOHN DANIEL, walifanya mahojiano na Spika wa Bunge, Job Ndugai, i

Waandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Benki ya Exim yajipanga kufikia malengo 2016

Benki ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira ya mwaka 2016 inayolenga kuongeza mapato na amana katika soko ifikapo mwaka huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Msaidie mwanao kufikia malengo yake ya baadaye

Wakati watoto wanakua, mara nyingi huanza kupanga mipango yao ya baadaye pia huchagua kazi ambayo wangependa kufanya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani