Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SBL yazindua kampeni kufikia malengo

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

KUFIKIA MALENGO YA BRN NECTA yazindua vitabu vya uchambuzi wa ufaulu

AGOSTI 15 2013 Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilizindua mpango wake wa utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa(BRN) katika sekta ya elimu. Uzinduzi huo uliofanywa na Waziri...

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yazindua kampeni kuhamasisha akaunti ya Amana ya malengo.

Benki ya Exim Tanzania imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha wateja wake kufungua akaunti ya amana ya malengo (Fixed Deposit Account) ikiwa sehemu ya mpango wa benki hiyo kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba miongoni mwa watanzania.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma lililopita, Meneja Bidhaa wa Benki hiyo, Bw Aloyse Maro alisema lengo kuu la kampeni hiyo ni kukuza utamaduni wa kuweka akiba hapa nchini ili kuongeza tija kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

11 years ago

Mwananchi

Msaidie mwanao kufikia malengo yake ya baadaye

Wakati watoto wanakua, mara nyingi huanza kupanga mipango yao ya baadaye pia huchagua kazi ambayo wangependa kufanya.

 

11 years ago

Mwananchi

Benki ya Exim yajipanga kufikia malengo 2016

Benki ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira ya mwaka 2016 inayolenga kuongeza mapato na amana katika soko ifikapo mwaka huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo

MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ndugai: Tutamsadia Rais kufikia malengo yake

Waandishi wetu, DEUS BUGAYWA na JOHN DANIEL, walifanya mahojiano na Spika wa Bunge, Job Ndugai, i

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Wahariri waombwa kusaidia kufikia malengo ya 90-90-90 dhidi ya Ukimwi

SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imewaomba wahariri wa vyombo vya habari nchini, kutenga nafasi katika vyombo vyao ili kusaidia malengo iliyojiwekea katika kufikia asilimia 90 ya kudhibiti virusi vya Ukimwi ifikapo mwaka 2020.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani