Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahariri waombwa kusaidia kufikia malengo ya 90-90-90 dhidi ya Ukimwi

SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imewaomba wahariri wa vyombo vya habari nchini, kutenga nafasi katika vyombo vyao ili kusaidia malengo iliyojiwekea katika kufikia asilimia 90 ya kudhibiti virusi vya Ukimwi ifikapo mwaka 2020.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA WAJIVUNIA KUFIKIA MALENGO YA MILENIA 90-90-90 DHIDI YA VVU

 Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akisema jambo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hawapo pichani) wakati wa ziara katika Gereza Kuu la Arusha. ACP Dkt. Richard Mwankina akisoma taarifa ya Jeshi la Magereza kwa niaba ya Kamishna Generali wa Magereza Suleiman Mzee (hayupo pichani) kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya.   Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Leonard Subi ...

 

10 years ago

Michuzi

ASASI YA "AIDS - free" KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwa Kamishna Jenerali wa Magereza leo februari 20, 2015(wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Operesheni na Fedha, Bw. Mike Hames(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi anayeshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka USAID, Bw. Erick Mlang'ha. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir...

 

10 years ago

GPL

ASASI YA "AIDS - FREE" KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwa Kamishna Jenerali wa Magereza leo februari 20, 2015(wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Operesheni na Fedha, Bw. Mike Hames(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi anayeshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka USAID, Bw. Erick...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia

 Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) imesema wakati muda wa utekelezaji wa malengo ya milenia ukikaribia kufika mwisho ifikapo mwaka 2015, Tanzania bado ni maskini.

 

10 years ago

Habarileo

SBL yazindua kampeni kufikia malengo

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau waombwa kusaidia watoto

SERIKALI na sekta mbalimbali zimeombwa kuguswa na tatizo la watoto wa mitaani ambalo ni janga la taifa. Hayo yalizungumzwa na mama Mlezi wa Kituo cha watoto yatima na waishio katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo

MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Msaidie mwanao kufikia malengo yake ya baadaye

Wakati watoto wanakua, mara nyingi huanza kupanga mipango yao ya baadaye pia huchagua kazi ambayo wangependa kufanya.

 

11 years ago

Mwananchi

Benki ya Exim yajipanga kufikia malengo 2016

Benki ya Exim Tanzania imeanza utekelezaji wa dira ya mwaka 2016 inayolenga kuongeza mapato na amana katika soko ifikapo mwaka huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani