Wadau waombwa kusaidia watoto
SERIKALI na sekta mbalimbali zimeombwa kuguswa na tatizo la watoto wa mitaani ambalo ni janga la taifa. Hayo yalizungumzwa na mama Mlezi wa Kituo cha watoto yatima na waishio katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Waombwa kusaidia kuwafichua watumishi hewa
WAKUU wa Idara pamoja na viongozi wa taasisi za mifuko ya jamii nchini wameombwa kusaidia serikali kubaini wafanyakazi hewa wanaoendelea kupokea fedha za serikali, lakini wameshastaafu utumishi wao na wengine kufariki dunia.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s72-c/unnamed.jpg)
WANAWAKE MORO WAOMBWA KUSAIDIA KUFICHUA WAHALIFU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s1600/unnamed.jpg)
Na John Nditi, Morogoro
MKUU wa Mkoa wa Morogoro pichani kati, Dk Rajab Rutengwe, amewaomba wanawake kuanzia ngazi ya mitaa, vitongoji, vijiji na kata kushiriki katika suala la ulinzi shirikishi kwa kuwafichua wahalifu wanaotishia kuhatarisha uvujifu wa amani ndani ya mkoa.
Dk Rutengwe alitoa rai hiyo wakati alipozungumza na wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Morogoro , Julai 24, 2015 wilayani Kilosa baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Wahariri waombwa kusaidia kufikia malengo ya 90-90-90 dhidi ya Ukimwi
SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imewaomba wahariri wa vyombo vya habari nchini, kutenga nafasi katika vyombo vyao ili kusaidia malengo iliyojiwekea katika kufikia asilimia 90 ya kudhibiti virusi vya Ukimwi ifikapo mwaka 2020.
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Viongozi wa dini, wanasiasa waombwa kusaidia kufanikisha chanjo ya Surua na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi, akifungua kikao cha uhabarisho wa chanjo mpya ya Surua na Rubella wilayani humo. Dc Mlozi pamoja na mambo mengine, ameagiza viongozi wa madhehebu ya dini na wale wa kisiasa, kushiriki kikamilifu zoezi hilo la kitaifa linalotarajiwa kuanza Okt. 18 hadi 24 mwaka huu. Jumla ya watoto 103,879 wilayani humo, wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo. Kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendahasara Maganga.
Na Nathaniel Limu,...
9 years ago
Habarileo20 Sep
Wadau waombwa kuchangia sekta ya afya
WADAU wa Afya nchini wameombwa kuwekeza kwenye sekta hiyo kutokana na bajeti iliyotengwa kwa ajili ya sekta kuwa finyu.
9 years ago
StarTV22 Dec
Wadau waombwa kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya  maambukizi ya vvu
Kamati za kudhibiti maambukizi vya virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika wilaya ya Pangani mkoani Tanga zimesema upo umuhimu kwa wadau mbalimbali kuendelea kuwekeza kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Kamati hizo zimesema licha ya baadhi ya jamii kuwa na uelewa dhidi ya ugonjwa huo jitihada zaidi zinahitajika ili elimu hiyo imfikie kila mtu na hatimaye kujikinga na ugonjwa huo.
Wanakamati hao wametoa kauli hiyo katika tamasha la kuzizawadia kamati bora za ukimwi, jinsia, uongozi na...
11 years ago
GPLWADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI YATAKAYOFANYIKA DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s72-c/IMG_4053.jpg)
WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KWANZA LA KIPEKEE LA KUWAWEZESHA WANAWAKE NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s1600/IMG_4053.jpg)
“Tamasha hili limeandaliwa ili kuwaonesha wanawake na vijana umuhimu wa kuweka akiba, aina tofauti...