Waombwa kusaidia kuwafichua watumishi hewa
WAKUU wa Idara pamoja na viongozi wa taasisi za mifuko ya jamii nchini wameombwa kusaidia serikali kubaini wafanyakazi hewa wanaoendelea kupokea fedha za serikali, lakini wameshastaafu utumishi wao na wengine kufariki dunia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wadau waombwa kusaidia watoto
SERIKALI na sekta mbalimbali zimeombwa kuguswa na tatizo la watoto wa mitaani ambalo ni janga la taifa. Hayo yalizungumzwa na mama Mlezi wa Kituo cha watoto yatima na waishio katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s72-c/unnamed.jpg)
WANAWAKE MORO WAOMBWA KUSAIDIA KUFICHUA WAHALIFU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fXtcMN2x5Bo/VbcQTsA6LUI/AAAAAAAHsHs/FONHSgvWRw0/s1600/unnamed.jpg)
Na John Nditi, Morogoro
MKUU wa Mkoa wa Morogoro pichani kati, Dk Rajab Rutengwe, amewaomba wanawake kuanzia ngazi ya mitaa, vitongoji, vijiji na kata kushiriki katika suala la ulinzi shirikishi kwa kuwafichua wahalifu wanaotishia kuhatarisha uvujifu wa amani ndani ya mkoa.
Dk Rutengwe alitoa rai hiyo wakati alipozungumza na wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Morogoro , Julai 24, 2015 wilayani Kilosa baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Wahariri waombwa kusaidia kufikia malengo ya 90-90-90 dhidi ya Ukimwi
SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imewaomba wahariri wa vyombo vya habari nchini, kutenga nafasi katika vyombo vyao ili kusaidia malengo iliyojiwekea katika kufikia asilimia 90 ya kudhibiti virusi vya Ukimwi ifikapo mwaka 2020.
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Viongozi wa dini, wanasiasa waombwa kusaidia kufanikisha chanjo ya Surua na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi, akifungua kikao cha uhabarisho wa chanjo mpya ya Surua na Rubella wilayani humo. Dc Mlozi pamoja na mambo mengine, ameagiza viongozi wa madhehebu ya dini na wale wa kisiasa, kushiriki kikamilifu zoezi hilo la kitaifa linalotarajiwa kuanza Okt. 18 hadi 24 mwaka huu. Jumla ya watoto 103,879 wilayani humo, wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo. Kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendahasara Maganga.
Na Nathaniel Limu,...
10 years ago
StarTV04 Feb
Watumishi hewa, wakuu serikalini watakiwa kulitatua
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
TATIZO LA WATUMISHI HEWA: Wakuu wa vitengo serikalini watakiwa kulitatua
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Profesa Mussa Assad amesema suala la kujitokeza watumishi hewa kila mara serikalini na katika taasisi zake linaweza kuondoka iwapo wakuu wa vitengo husika wataamua kuliondoa.
Profesa Assad amesema hayo mkoani Mtwara katika mahojiano maalum na Star TV.
Kila mwaka katika Taarifa ya CAG suala la watumishi hewa linaonekana kujirudia...
11 years ago
Bongo514 Jul
Wanasayansi: Kuvuta harufu ya ‘hewa chafu ya binadamu’ (fart) inaweza kusaidia kuzuia kansa na magonjwa ya moyo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu
WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.