Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi hewa, wakuu serikalini watakiwa kulitatua

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

TATIZO LA WATUMISHI HEWA: Wakuu wa vitengo serikalini watakiwa kulitatua

 

 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Profesa Mussa Assad amesema suala la kujitokeza watumishi hewa kila mara serikalini na katika taasisi zake linaweza kuondoka iwapo wakuu wa vitengo husika wataamua kuliondoa.

 

Profesa Assad amesema hayo mkoani Mtwara katika mahojiano maalum na Star TV.

 

Kila mwaka katika Taarifa ya CAG suala la watumishi hewa linaonekana kujirudia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU SERIKALINI

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha watendaji wakuu serikalini kilichofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.(picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

GPL

WAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (Mb) akifungua mashindano ya michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo.
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Bw.Noeli Kazimoto akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

10 years ago

Mtanzania

Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano

Dr-Florence-TurukaNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”

Akizungumzia...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI

 Vijana Mkoani Kagera wametakiwa kuondokana na kutegemea ajira toka serikalini badala yake wajijengee mazingira ya kuwezeshwa kwa kukaa katika makundi ili wanufaike na fursa mbali mbali zitolewazo na serikali.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...

 

11 years ago

Habarileo

Waombwa kusaidia kuwafichua watumishi hewa

WAKUU wa Idara pamoja na viongozi wa taasisi za mifuko ya jamii nchini wameombwa kusaidia serikali kubaini wafanyakazi hewa wanaoendelea kupokea fedha za serikali, lakini wameshastaafu utumishi wao na wengine kufariki dunia.

 

9 years ago

StarTV

Watumishi wa TAMISEMI watakiwa kuifanyia kazi

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewaagiza watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kuichambua hotuba ya Rais Magufuli na kuanza kuifanyia kazi.

Waziri mkuu ametoa maagizo hayo alipokutana na watendaji wa ofisi hiyo ambayo inahusika na utekelezaji wa sera na mipango mbalimbali ya Serikali inayowagusa wananchi moja kwa moja.

Baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim Majaliwa kutoa maagizo hayo Katibu Mkuu TAMISEMI, Jumanne Abdalah Sagini anawaambia...

 

10 years ago

Habarileo

Wakuu idara za ujenzi watakiwa kusajiliwa

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ameziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha kwamba wakuu wote wa Idara za Ujenzi wamesajiliwa kama wahandisi wataalamu ifikapo Juni 30, mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani