Watumishi wa TAMISEMI watakiwa kuifanyia kazi
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewaagiza watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kuichambua hotuba ya Rais Magufuli na kuanza kuifanyia kazi.
Waziri mkuu ametoa maagizo hayo alipokutana na watendaji wa ofisi hiyo ambayo inahusika na utekelezaji wa sera na mipango mbalimbali ya Serikali inayowagusa wananchi moja kwa moja.
Baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim Majaliwa kutoa maagizo hayo Katibu Mkuu TAMISEMI, Jumanne Abdalah Sagini anawaambia...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Watumishi watakiwa kufanya kazi kwa bidii, uwajibikaji na ushirikiano
Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Watumishi wa kada za afya watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Bunge laanza kuifanyia kazi ripoti ya escrow
10 years ago
MichuziBONANZA LA WATUMISHI TAMISEMI LAFANYIKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bwana Mohamed Pawaga. Tamasha hilo liliambatana na...
9 years ago
MichuziWATENDAJI WA TAMISEMI WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA KUHUSU USAFI, UJENZI HOLELA, WANAOFANYA BIASHARA MAENEO YA DART
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-da_x8VyBNjw/Xni0wWYORVI/AAAAAAALkys/WkmMbZkYEUYjVB7XtDsZi-aJmpUkuM7VACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Watumishi TBS Watakiwa Kuepuka Vishawishi
Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...