WATENDAJI WA TAMISEMI WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA KUHUSU USAFI, UJENZI HOLELA, WANAOFANYA BIASHARA MAENEO YA DART
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Jumanne Sagini wakati akizungumza na watendaji mbalimbali wa ofisi hiyo leo katika mkutano wa kikazi uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Karimjee jijini Dares Salaam , ambapo lengo kuu lilikuwa ni kutoa maelekezo ya utendaji kazi kama ilivyoagizwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Afya -TAMISEMI ,Dkt .Deo Mutasiwa .
Baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3IXg8ym2_l4/VkXLDr34JnI/AAAAAAAIFss/e6E8hRt5gqk/s72-c/Cholera_bacteria_SEM-640x360.jpg)
WATENDAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAHIMIZWA KUSIMAMIA USAFI IPASAVYO -KATIBU MKUU TAMISEMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3IXg8ym2_l4/VkXLDr34JnI/AAAAAAAIFss/e6E8hRt5gqk/s320/Cholera_bacteria_SEM-640x360.jpg)
Katika agizo hilo la Serikali ametoa wiki mbili kwa watendaji wote kuhakikisha wanaliweka jiji katika hali ya usafi na endapo halitatekelezwa hatua zitachukuliwa dhidi yao.
Akizungumza na watendaji wa Serikali leo jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Watendaji waagizwa kusimamia usafi wa jiji la Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini (pichani).
Na Shamimu Nyaki -Maelezo
[DAR ES SALAAM] Watendaji wa Manispaa za Jiji la Dar es salaam wametakiwa kusimamia kwa ukamilifu suala la usafi katika maeneo yao ili kuzuia kusambaa kwa uchafu unaosababisha magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu.
Rai hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini wakati...
5 years ago
MichuziUMEME MDOGO KWA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA ZANZIBAR,CHANZO NI ONGEZEKO LA WATUMIAJI NA UJENZI HOLELA
5 years ago
Habarileo16 Feb
Bodi yataka dola kusimamia sheria ya ujenzi
MWENYEKITI wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Ujenzi (AQRB), Dk Ambwene Mwakyusa amewaomba makamanda wa polisi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kusimamia Sheria Namba 4 ya Mwaka 2010 inayohusu masuala ya ujenzi.
10 years ago
Habarileo18 Aug
Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Watendaji, watumishi wa umma watakiwa kujikita kwenye kilimo cha biashara
Kaimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Singida, Joseph Sabore, akitoa ufafanuzi wa ajenda zilizokuwa zikiwasilishwa mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Singida, Elia Didha na wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi na wa kwanza kulia ni katibu CCM wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAIMU mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Singida, Elia Digha, amewahimiza watendaji kujenga utamaduni wa kujishughulisha...
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
11 years ago
Habarileo06 Feb
Hesabu mbaya kuwanyima posho watendaji Tamisemi
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), inaandaa utaratibu kuwanyima posho za safari wakuu wa idara wa halmashauri za wilaya, watakaokuwa wakiitwa na kamati hiyo zaidi ya mara mbili, kutokana na hesabu mbaya.