Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”
Akizungumzia...
9 years ago
MichuziWATENDAJI WA TAMISEMI WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA KUHUSU USAFI, UJENZI HOLELA, WANAOFANYA BIASHARA MAENEO YA DART
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kF3RjTpaWHk/VMi77YNMiyI/AAAAAAAG_3U/GNWv7iy9tn4/s72-c/1..jpg)
WASANII WATAKIWA KUTOA ELIMU YA UPIGAJI KURA
Wasanii nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kupiga kura na kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza wakati akichangia mada kuhusu Umuhimu wa Jamii kupiga kura kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika makao makuu ya BASATA Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
“Kama taifa tunazungukwa na matukio mengi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s640/1-63.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-B-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-A-1.jpg)
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Serikali, UN, vyombo vya habari kutoa elimu dhidi ya Ebola
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, Said Makora (kulia), akielezea jinsi Wizara hiyo inavyopambana kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wananchi wakati wa kongamano lililoandaliwa na UNESCO, WHO, UNICEF, Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Novemba 11,2014 jijini Dar es Salaam mkutano huo uliowakutanisha wamiliki wa Redio za kijamii kuwaelimsha Radio za Kijamii za...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/0011.jpg)
SERIKALI, UN, VYOMBO VYA HABARI KUTOA ELIMU DHIDI YA EBOLA
11 years ago
Michuzi23 Jul
TASO KUTOA ELIMU KWA WANALINDI KUHUSU UBORESHAJI WA KILIMO
WANANCHI mkoani Lindi wanatarajiwa kuelimishwa njia bora na za kisasa za uvuvi, ufugaji na ukulima ili waweze kuboresha kipato chao na Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakulima Tanzania(TASO) Engelbert Moyo wakati akiongea na waandishi wa habari.
Amesema kuwa wakati wa maonesho ya nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani Lindi watajitahidi kuhakikisha wananchi wanajifunza teknolojia mpya za kilimo,...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).