USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
Hali ya usalama mtandao ni dhahiri bado jitihada za dhati zinahitajika ili kuweza kuleta mabadiliko na kupata Tanzania salama kimtandao, Afrika na dunia kiujumla. Ili kuleta mabadiliko chanya jukumu la kutoa elimu halipaswi kubaki kwa mtu mmoja au kundii Fulani la watu bali ni lazima kuwe na kuunganisha nguvu ya pamoja kutoka katika kila mtu mmoja mmoja.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Serikali, UN, vyombo vya habari kutoa elimu dhidi ya Ebola
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, Said Makora (kulia), akielezea jinsi Wizara hiyo inavyopambana kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wananchi wakati wa kongamano lililoandaliwa na UNESCO, WHO, UNICEF, Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Novemba 11,2014 jijini Dar es Salaam mkutano huo uliowakutanisha wamiliki wa Redio za kijamii kuwaelimsha Radio za Kijamii za...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/0011.jpg)
SERIKALI, UN, VYOMBO VYA HABARI KUTOA ELIMU DHIDI YA EBOLA
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
IAWRT yazindua Ripoti ya nafasi ya Mwanamke katika Vyombo vya Habari
Bi Razia Mwawanga kutoka IAWRT akifungua mkutano wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa hapa nchini.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamojablog)
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) Tanzania Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0044-768x513.jpg)
RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0044-768x513.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0113-1024x684.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s72-c/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
WARSHA KUHUSU NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO NCHINI TANZANIA YAFUNGULIWA LEO KILIMANJARO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s1600/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcH0vpNqRwk/VOyXpUMw04I/AAAAAAAAAAY/kWnfRekkBNI/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwa%2BWarsha%2Bwakifuatilia%2Bkwa%2Bmakini.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VkKSK8OvKF8/VOyXpXPGdWI/AAAAAAAAAAU/Tg6G19ReQGs/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwakiuliza%2Bmaswali%2Bkatika%2Bwarsha%2Bhiyo.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vPO18FRLxk/VOyXp3DzeGI/AAAAAAAAAAg/VUIwrR6zg5w/s1600/Kimela%2BBila%2BMwandaaji%2Bwa%2BKipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bakizungumza%2Bkatika%2BWarsha.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrxMKS5MiPg/VOyXrBB5pnI/AAAAAAAAAAs/MF_EOQIsxII/s1600/Mathias%2BHaule%2C%2BAfisa%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2Bmaswala%2Bya%2BUkatili%2Bdhidi%2Bya%2BWatoto%2Bkutoka%2BWizara%2Bya%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2C%2BJinsia%2Bna%2BWatoto%2Bakielezea%2BSheria%2Bya%2BMtoto.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6do6HPPS5Lc/VOyXsOj3JkI/AAAAAAAAAA0/OLCDMLwKzk4/s1600/Neema%2BKimaro%2C%2BMratibu%2Bwa%2Bkipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bkutoka%2BTrue%2BVision%2BProduction%2Bakiendelea%2Bna%2Bmaandalizi%2Bya%2Bwarsha.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s72-c/Jamhuri+-+1.jpg)
VYOMBO VYA HABARI VYAASWA KUTOA KIPAUMBELE KWA HABARI ZINAZOJENGA JAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s1600/Jamhuri+-+1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Vyombo vya habari,usalama vyakutana TZ