Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-deaVy2pWixQ/U4oBNzFxelI/AAAAAAAFm1o/erJ70iKYRng/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JsbIK-cD1ak/U4oBOInTWiI/AAAAAAAFm1k/D6gfmTApz0E/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
Dk. Bilal avipasha vyombo vya ulinzi na usalama, waandishi wa habari
NA WILLIAM SHECHAMBO
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama na waandishi wa habari nchini kushirikiana katika majukumu yao ya kazi ili kulinda amani ya nchi.
Pia amezitaka taasisi hizo kuzingatia mipaka yao na katika utendaji ili kuepuka migongano au chuki zinazoweza kutokea wakati wa kutimiza wajibu wao kazini.
Alitoa wito hiyo katika hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, jana, alipokuwa akifungua mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZdCKLP3yLI/VGd7SO_YjXI/AAAAAAAGxh4/Mn7vXTez2A8/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c8NtO-YUc4U/VGd7Q4R6zYI/AAAAAAAGxho/sbrtEaYLQz0/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na wahariri wa vyombo vya habari kwa mazungumzo Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari (hawapo pichani) wakati alipokutana nao nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Mhariri wa gazeti la Jamhuri, Jackton Manyerere, akichangia mada wakati wa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, yaliyofanyika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2014.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P9tE1BWEJIA/VGdHIYDj-II/AAAAAAACTFE/2_n2Y7k7Il4/s640/002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmXh41GKdyM/VGdHIpEmvKI/AAAAAAACTFI/pb2dQH4Q_Vk/s640/02..jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
9 years ago
MichuziSERIKALI YASAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MAGARI NA KAMPUNI YA ASHOK LEYLAND KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, JIJINI DAR