Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”
Akizungumzia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Aug
Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano
9 years ago
StarTV01 Oct
Wakazi Kagera watakiwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola
Wananchi mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola ili kufanikisha kukamatwa kwa wahusika wa matukio ya uchomaji wa makanisa mkoani humo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella wakati alipotembelea makanisa manne yaliyochomwa moto mwanzoni mwa wiki hii yakikamilisha idadi ya makanisa saba yaliyofanyiwa uhalifu huo ndani ya wiki mbili.
Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella akiambatana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa inaanzia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xhRnUtWB8jWbofS4vWb3r7zEg2TmbSQYM5*ABnHakHJBpMNoGcqswUNsc9QICes5gMoLciqtqHMAEf3VoV9jru/NBS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI SENSA YA VIWANDA YAKAMILIKA, SERIKALI YAWATAKA WADAU KUTOA USHIRIKIANO
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Maandalizi sensa ya viwanda yakamilika, Serikali yawataka wadau kutoa ushirikiano
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akifunga rasmi mafunzo ya siku 14 ya wasimamizi na wadadisi wa Sensa ya viwanda 2013 itakayofanyika nchini nzima kuanzia Februari 23, 2015. Hafla ya kufunga mafunzo hayo ilifanyika jana eneo la Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika jijini Dar es salaam.
Na Aron Sigma – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa maandalizi ya Sensa ya Viwanda ya mwaka 2013 itakayofanyika nchi nzima kuanzia Februari 23 mwaka huu yamekamilika na kuwataka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpw2RPHosR9pY2BLLK5zsiM620YMcBIiTpy32iISX2SQCj3JRpvL0ciFq4*ze2sAM0nVw3JxHL3jCSKTrUx59ej/Pichana2.jpg?width=650)
WANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATAALAM WA UTAFITI WA HALI YA UMASIKINI WA KAYA TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) chawaomba wadau kutoa ushirikiano ili kupambana na matumizi Tumbaku kwa vijana
Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
Mratibu wa Mradi...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII(TPHA) CHAWAOMBA WADAU KUTOA USHIRIKIANO ILI KUPAMBANA NA MATUMIZI TUMBAKU KWA VIJANA
(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s72-c/NBS%2B-%2B1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s1600/NBS%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EYaT0z67fvY/VNDT1g4zWxI/AAAAAAAHBTA/nhgmiW-e7JA/s1600/NBS%2B-%2B2.jpg)