Bunge laanza kuifanyia kazi ripoti ya escrow
Ripoti ya kashfa ya fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow kutoka Benki Kuu (BoT), imejadiliwa jana katika kikao cha Kamati ya Uongozi ya Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Bunge laanza kuchambua ripoti za Kamati
10 years ago
Habarileo23 Oct
Bunge laanza kufuatilia dosari ripoti ya CAG
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza kushughulikia dosari zilizobainishwa kwenye ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenye halmashauri 140 nchini kwa mwaka wa fedha 2012/2013.
9 years ago
StarTV25 Nov
Watumishi wa TAMISEMI watakiwa kuifanyia kazi
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amewaagiza watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kuichambua hotuba ya Rais Magufuli na kuanza kuifanyia kazi.
Waziri mkuu ametoa maagizo hayo alipokutana na watendaji wa ofisi hiyo ambayo inahusika na utekelezaji wa sera na mipango mbalimbali ya Serikali inayowagusa wananchi moja kwa moja.
Baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim Majaliwa kutoa maagizo hayo Katibu Mkuu TAMISEMI, Jumanne Abdalah Sagini anawaambia...
11 years ago
Mwananchi06 May
Bunge laanza leo kwa posho mpya
11 years ago
GPLBUNGE MAALUMU LA KATIBA LAANZA MJINI DODOMA
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Bunge la Mynmar laanza kikao cha mwisho
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Bunge maalumu la katika laanza leo mjini dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n2qO_ieDTIY/U-DdoC5hUII/AAAAAAAF9Uo/ylkLUIh67Jk/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ripoti ya escrow yawasha moto
10 years ago
Habarileo18 Nov
Zitto akabidhiwa ripoti ya Escrow
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, imeanza kufanyiwa kazi na Bunge na ndani ya siku nane zijazo, umma utajua ukweli wake. Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai alikabidhi ripoti hiyo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto, jana bungeni, na kamati imeanza kazi mara moja. Kwa mujibu wa Ndugai, taarifa hiyo ya CAG ina maoni kwa kila hadidu za rejea kama chombo hicho kilipoagiza wakati...