Zitto akabidhiwa ripoti ya Escrow
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, imeanza kufanyiwa kazi na Bunge na ndani ya siku nane zijazo, umma utajua ukweli wake. Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai alikabidhi ripoti hiyo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto, jana bungeni, na kamati imeanza kazi mara moja. Kwa mujibu wa Ndugai, taarifa hiyo ya CAG ina maoni kwa kila hadidu za rejea kama chombo hicho kilipoagiza wakati...
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
ama jiunge na aitv mobile uone live!
10 years ago
Mwananchi14 Nov
IGP akabidhiwa ripoti ubadhirifu wa tumbaku
10 years ago
Habarileo02 Dec
Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL
KAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
5 years ago
MichuziRC PWANI AKABIDHIWA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUTOKA KWA MAMA SALMA KIKWETE
Mke wa Rais wa awamu ya nne Mama Salma Kikwete ambaye pia alikuwa Mbunge wa kuteuliwa kupitia Mkoa wa Pwani na Lindi amesema ataendelea kushirikiana bega kwa bega na serikali katika miradi mbali mbali ya maendeleo ikiwemo ile ya kimikakati pamoja na kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili wananchi.
Kauli hiyo ameitoa wakati wa halfa fupi ya kukabidhi taarifa mbili za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha mapinduzi (CCM)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FpBclB7TfcFiRZ2-SgCvrpy-YGRxyfai9FDRTsXlW9F0Hk79q1j2Co33QKi*PPkmLAEKlDl2gz5S1OlpjCGMqKv/zitto.jpg?width=650)
RIPOTI YA ESCROW YAWASILISHWA BUNGENI
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ripoti ya escrow yawasha moto
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s72-c/zzk.jpg)
KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s1600/zzk.jpg)
Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...
10 years ago
Mtanzania11 May
Ikulu: Ripoti ya Tokomeza, Escrow hazitatolewa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amesema ripoti za uchunguzi ya Operesheni Tokomeza na suala la Akaunti ya Tegeta Escrow hazitatolewa hadharani.
“Hakuna mpango wa kuweka ripoti hadharani kwa sababu kuna mambo ya kesi zinazoendelea mahakamani, sasa ukianza kutoa hadharani unaharibu hizo kesi mahakamani,” alisema Balozi Sefue.
Ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim...