Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikulu: Ripoti ya Tokomeza, Escrow hazitatolewa

sefueNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amesema ripoti za uchunguzi ya Operesheni Tokomeza na suala la Akaunti ya Tegeta Escrow hazitatolewa hadharani.
“Hakuna mpango wa kuweka ripoti hadharani kwa sababu kuna mambo ya kesi zinazoendelea mahakamani, sasa ukianza kutoa hadharani unaharibu hizo kesi mahakamani,” alisema Balozi Sefue.
Ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Kagasheki akosoa ripoti Kamati ya Tokomeza

ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, amekosoa ripoti ya Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira akidai ilikuwa ya upande mmoja kwani haikuonesha mauaji ya askari waliohusika katika Operesheni Tokomeza Ujangili. Aidha, ameshangaa walioshangilia kujiuzulu kwake na baadaye uwaziri wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, akisema kujiuzulu ni jambo la kawaida na kwamba angejisikia vibaya kama angeondolewa wizarani kwa sababu za ufisadi au wizi wa mali za umma.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili

Tume iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete Mei Mosi mwaka jana kuchunguza vitendo vilivyotokana na uendeshaji wa Operesheni ya Tokomeza Ujangili ambayo iliwang’oa mawaziri wanne, imemaliza kazi jana na kukabidhi ripoti kwa Rais Jakaya Kikwete, Ikulu, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi kuhusu operesheni tokomeza Jaji(Mstaafu) Balozi Hamisi Amiri Msumi akimkabithi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ripoti ya Uchunguzi wa Tume hiyo katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Kikwete aliiteua tume hiyo mwaka jana kuchunguza tuhuma za uvunjifu wa sheria katika utekelezaji wa operesheni hiyo.Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa operesheni Tokomomeza ikulu leo. picha na Freddy Maro.

 

10 years ago

Mtanzania

Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza

peter-serukambaKhamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.

Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.

Kauli hiyo aliitoa...

 

10 years ago

Daily News

MPs fault cleansing of Escrow, Tokomeza campaign culprits


MPs fault cleansing of Escrow, Tokomeza campaign culprits
Daily News
TEGETA Escrow Account and Operation 'Tokomeza Ujangili' scandals which compelled six ministers, the Attorney General and one Permanent Secretary to face the exit doors have resurfaced in the House, with lawmakers calling upon the government to ...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti ya escrow yawasha moto

 Ripoti ya uchunguzi katika akaunti ya escrow imeonekana kuipasua kichwa Serikali baada ya wabunge kuibana wakitaka ripoti hiyo iwasilishwe bungeni na kuwekwa wazi.

 

10 years ago

Habarileo

Zitto akabidhiwa ripoti ya Escrow

RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, imeanza kufanyiwa kazi na Bunge na ndani ya siku nane zijazo, umma utajua ukweli wake. Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai alikabidhi ripoti hiyo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto, jana bungeni, na kamati imeanza kazi mara moja. Kwa mujibu wa Ndugai, taarifa hiyo ya CAG ina maoni kwa kila hadidu za rejea kama chombo hicho kilipoagiza wakati...

 

10 years ago

GPL

RIPOTI YA ESCROW YAWASILISHWA BUNGENI

MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe hivi sasa anawasilisha bungeni maoni ya kamati hiyo kuhusu ripoti ya kuchotwa zaidi ya shilingi bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani