Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza
Khamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.
Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.
Kauli hiyo aliitoa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 May
Ikulu: Ripoti ya Tokomeza, Escrow hazitatolewa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amesema ripoti za uchunguzi ya Operesheni Tokomeza na suala la Akaunti ya Tegeta Escrow hazitatolewa hadharani.
“Hakuna mpango wa kuweka ripoti hadharani kwa sababu kuna mambo ya kesi zinazoendelea mahakamani, sasa ukianza kutoa hadharani unaharibu hizo kesi mahakamani,” alisema Balozi Sefue.
Ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim...
10 years ago
Daily News14 May
MPs fault cleansing of Escrow, Tokomeza campaign culprits
Daily News
TEGETA Escrow Account and Operation 'Tokomeza Ujangili' scandals which compelled six ministers, the Attorney General and one Permanent Secretary to face the exit doors have resurfaced in the House, with lawmakers calling upon the government to ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n8eNq4YKXds/VUzPrRFDMrI/AAAAAAAHWUQ/1bD0xbVYTUg/s640/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Lissu atonesha ‘kidonda’
MSEMAJI wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Tundu Lissu jana alitonesha madonda ya mjadala wa muundo wa Muungano uliyokuwa ukijadiliwa kwa hisia kali wakati wa...
10 years ago
Habarileo15 Jun
Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.
10 years ago
Habarileo14 May
Serukamba ataka wa ‘Richmond’ wasafishwe
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba ametaka Serikali isafishe viongozi wengine waliojiuzulu katika kashfa mbalimbali, ikiwemo ya Richmond, baada ya kutoa kauli ya kusafisha viongozi waliojiuzulu katika kashfa maarufu za Escrow na Operesheni Tokomeza.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba
10 years ago
Mwananchi10 Jun
NYANZA: Zitto ‘ajigawia’ jimbo la Serukamba
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serukamba ataka treni mbili za kisasa
SERIKALI imetakiwa kununua treni mbili za kisasa ambazo ni maalumu kwa safari fupi ambapo gharama yake kila moja ni sh bilioni 8. Kamati ya Bunge ya Miundombinu, inayoongozwa na Peter...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10