Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba
Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Peter Serukamba amewataka wabunge wenzake wamuunge mkono ili kuishinikiza Serikali itaifishe mitambo ya mmiliki wa PAP inayosimamia IPTL kwa sasa, Harbinder Singh Sethi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aa2f2zjGbDk/U7YrvMtntHI/AAAAAAAFu1Q/x0IaQWeZhMc/s72-c/IPTL.jpg)
Mitambo ya IPTL yaanza kuzalisha megawati 100
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aa2f2zjGbDk/U7YrvMtntHI/AAAAAAAFu1Q/x0IaQWeZhMc/s1600/IPTL.jpg)
UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100 ambayo ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake, kiwango kilichofikiwa tarehe 15 Juni, huku uongozi wa kampuni hiyo wakiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.
Hayo yalibainishwa na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo14 May
Serukamba ataka wa ‘Richmond’ wasafishwe
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba ametaka Serikali isafishe viongozi wengine waliojiuzulu katika kashfa mbalimbali, ikiwemo ya Richmond, baada ya kutoa kauli ya kusafisha viongozi waliojiuzulu katika kashfa maarufu za Escrow na Operesheni Tokomeza.
10 years ago
Habarileo15 Jun
Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serukamba ataka treni mbili za kisasa
SERIKALI imetakiwa kununua treni mbili za kisasa ambazo ni maalumu kwa safari fupi ambapo gharama yake kila moja ni sh bilioni 8. Kamati ya Bunge ya Miundombinu, inayoongozwa na Peter...
10 years ago
Mtanzania14 May
Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza
Khamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.
Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.
Kauli hiyo aliitoa...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
NYANZA: Zitto ‘ajigawia’ jimbo la Serukamba
11 years ago
Habarileo14 Apr
Serukamba awekwa kiti moto mbele ya Kinana
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba amejikuta katika wakati mgumu kwenye mkutano wa Halmashauri ya CCM wilaya ya Kigoma Mjini, baada ya kudaiwa na baadhi ya wajumbe kwamba hana ushirikiano na wenzake.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mitambo ya TANESCO yawasili
AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Polisi yapokea mitambo ya mawasiliano
JESHI la Polisi nchini limepokea msaada wa mitambo ya redio na mawasiliano yenye gharama ya sh bilioni 2.4. Misaada hiyo iliyotolewa na Serikali ya Marekani itasaidia kupunguza uhalifu na kudhibiti...