Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Zitto ‘ajigawia’ jimbo la Serukamba

>Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema anakusudia kuwa mbunge wa Kigoma Mjini kwa kipindi kimoja cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020, kabla ya kuomba kazi nyingine ya kufanya kwa Watanzania. Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Peter Serukamba wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Zitto alitema rasmi jimbo lake la Kigoma Kaskazini

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZittoMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana amewaaga rasmi wananchi wa jimbo hilo huku akiwataka wananchi hao kutosononeka kwa uamuzi wake wa kutoendelea kugombea ubunge wa jimbo hilo, bali wamwombee na kumuunga mkono katika kila uamuzi atakaouchukua.

 

10 years ago

Vijimambo

ZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu.Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa.Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya UramboMwenyeti Kata ya Kiloleni...

 

10 years ago

Michuzi

FUBUSA ATANGAZA NIA KUGOMBEA JIMBO LA ZITTO KABWE KWA TIKETI YA CHADEMA

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
Mwanzilishi na  Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho.
Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa alisema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na  kipaumbele cha awali ni kuboresha Elimu,huduma za afya,miundombinu.
 Alisema vipaumbe...

 

10 years ago

Habarileo

Serukamba ataka wa ‘Richmond’ wasafishwe

Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter SerukambaMBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba ametaka Serikali isafishe viongozi wengine waliojiuzulu katika kashfa mbalimbali, ikiwemo ya Richmond, baada ya kutoa kauli ya kusafisha viongozi waliojiuzulu katika kashfa maarufu za Escrow na Operesheni Tokomeza.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge

Edward LowassaWAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba

Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Peter Serukamba amewataka wabunge wenzake wamuunge mkono ili kuishinikiza Serikali itaifishe mitambo ya mmiliki wa PAP inayosimamia IPTL kwa sasa, Harbinder Singh Sethi.

 

10 years ago

Mtanzania

Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza

peter-serukambaKhamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.

Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.

Kauli hiyo aliitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serukamba ataka treni mbili za kisasa

SERIKALI imetakiwa kununua treni mbili za kisasa ambazo ni maalumu kwa safari fupi ambapo gharama yake kila moja ni sh bilioni 8. Kamati ya Bunge ya Miundombinu, inayoongozwa na Peter...

 

10 years ago

Michuzi

Zitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo

 Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo.  (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu. Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa. Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo  Mwenyeti Kata ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani