Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
9 years ago
Mwananchi06 Nov
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Bi. Lowassa akataa ubunge wa viti maalum
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Wabunge marafiki wa Lowassa wajitosa tena kuwania ubunge.

Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, katika harakati za kusaka urais, wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kupitia chama hicho.
Kabla ya hapo, kulikuwa na uvumi kuwa wabunge hao hawatachukua fomu kutokana na kukatwa kwa Lowassa katika kinyang’anyiro cha urais.
Baadhi ya wabunge hao ambao wamechukua fomu hizo na kuzirejesha jana ni pamoja na Kangi Lugola (Mwibara), Andrew Chenge...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Ukawa waeleza sababu za ‘kumzuia’ Warioba
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
Habarileo14 May
Serukamba ataka wa ‘Richmond’ wasafishwe
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba ametaka Serikali isafishe viongozi wengine waliojiuzulu katika kashfa mbalimbali, ikiwemo ya Richmond, baada ya kutoa kauli ya kusafisha viongozi waliojiuzulu katika kashfa maarufu za Escrow na Operesheni Tokomeza.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uongozi Yanga waishangaa TFF kumzuia Okwi