Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa Lowassa autosa ubunge Chadema

 Mke wa Lowassa autosa ubunge Chadema

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PINDA AUTOSA RASMI UBUNGE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amekataa ombi la wakazi wa jimbo lake la uchaguzi la Katavi la kumtaka agombee tena ubunge katika jimbo hilo ili kuendeleza mipango ya maendeleo aliyoianzisha. Soma zaidi hapa ====>http://bit.ly/1MCOT6L

 

10 years ago

Vijimambo

UPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE

Kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

Chanzo:...

 

10 years ago

Mwananchi

LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani

>Hatimaye waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekitosa chama chake cha CCM na kutua Chadema. Huko ndiko anatarajia kuendelea na safari yake ya matumaini aliyoianza na sasa anatarajiwa kupambana na ikiwezekana kukidhoofisha chama kilichomlea katika harakati za kuingia Ikulu.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanawake walalamikakwa mke wa Lowassa

Pg 22 sept 18Na Mwandishi Wetu, Meatu

WANAWAKE wilayani Meatu mkoani Simiyu wamelalamikia kitendo cha kuuziwa kadi za kliniki Sh 3,000, wanapokwenda kupata huduma ya kupimwa.

Hali hiyo, imesababisha wajawazito wengi washindwe kuhudhuria kniliki kwa sababu ya kukosa fedha. Wakizungumza kwa masikitiko mbele ya mke wa mgombea urais kwa wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa,mama Regina Lowassa, akina mama hao walisema wanashindwa kuanza kliniki kutokana na gharama kubwa.

Walisema baadhi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mke wa Lowassa awapa mbinu za kupiga kura Babati

Mke wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina amewaomba Watanzania kuwa makini siku ya kupiga kura, kutunza kadi zao.

 

10 years ago

Habarileo

Mke azungumzia mume kuhamia Chadema

MKE wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani hapa, Fatuma Ngorisa ambaye ameteuliwa kuwa diwani wa Viti Maalumu (UWT) amesema kuwa kuhama kwa mume wake, ni uamuzi wake binafsi, hakumshirikisha hivyo hawezi kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge

Edward LowassaWAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi. Lowassa akataa ubunge wa viti maalum

Mke wa aliyekuwa mgombea wa urais kupitia chama cha CHADEMA nchini Tanzania Edward Lowassa amekataa ombi la kamati ya chama hicho kumpatia ubunge wa viti maalum.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani