Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
Makala iliyokuwa na kichwa cha habari “Kwa nini Lowassa anaweza kuwa rais†iliwakuna wengi, lakini kama ilivyotarajiwa iliwaudhi wengine na walionyesha hasira zao kwa kutuma ujumbe mchafu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
10 years ago
Habarileo17 Jun
Lowassa: Masikini hafai kuingia Ikulu
MGOMBEA anayewania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, Edward Lowassa jana alifanikiwa kupata wanachama 22,750 wa kumdhamini mkoani Singida na kusisitiza anaomba kwenda Ikulu ili amalize umasikini unaowakabili Watanzania, huku akisema Watanzania wasichague kiongozi masikini.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
10 years ago
Habarileo15 Jun
Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mkakati wa Chadema kuingia Ikulu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2654854/highRes/967769/-/maxw/600/-/ox2c9jz/-/chadema_clip.jpg)
9 years ago
Bongo508 Dec
Sir Alex: Itakuwa ujinga Roman Abrahimovich akimfuta kazi Mourinho
![2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080-300x194.jpg)
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema ‘itakuwa ujinga’ mmiliki wa Chelsea, Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho.
Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesalia katika nafasi ya 14 baada ya kupoteza mechi 8 kati ya 15 za kwanza msimu huu.
Taarifa mbalimbali zinasema kuwa kibarua cha kocha huyo mbishi huenda kikaota nyasi endapo the Blues watashindwa tena katika mechi zao 2 zijazo.
Hata hivyo Ferguson amemtetea akisema hakuna haja ya kumtimua kocha huyo...
10 years ago
VijimamboMbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu
10 years ago
Vijimambo13 Mar
JANUARY MAKAMBA SIFA LUKUKI ALIZONAZO NA CHANGAMOTO ZA KUINGIA IKULU
![](http://api.ning.com/files/YIi6je0KpJOdD3LfO4aYXSjAo4B*73eWcUNVG7lYAfgvLNVNeqckE2FJ1q64khqcIjpvlM8CC0tQ6UfedhU8n4mtHZlk7W9I/januarymakamba.jpg?width=650)
MWAKA mmoja uliopita nilikutana na mwanasiasa kijana January Yusuf Makamba na kumuuliza kama ana wazo la kugombea urais; jibu lake lilikuwa ni: “Ni wazo sahihi.”
Sikumwelewa alimaanisha nini, lakini habari zilizopo mtaani hivi sasa kuwa anakusudia kuchukua fomu za kuomba uteuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatimaye kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais nimeelewa kuwa jibu lake wakati ule lilimaanisha; NDIYO.
Ni wazi mtu kuamka na wazo la aina hii, kwamba na...