Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu
Mgombea urais wa Chadema na kwa mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amekijengea mizizi imara chama chake na sasa kimeiva kuingia Ikulu Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
10 years ago
Habarileo17 Jun
Lowassa: Masikini hafai kuingia Ikulu
MGOMBEA anayewania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, Edward Lowassa jana alifanikiwa kupata wanachama 22,750 wa kumdhamini mkoani Singida na kusisitiza anaomba kwenda Ikulu ili amalize umasikini unaowakabili Watanzania, huku akisema Watanzania wasichague kiongozi masikini.
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mkakati wa Chadema kuingia Ikulu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2654854/highRes/967769/-/maxw/600/-/ox2c9jz/-/chadema_clip.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
10 years ago
TheCitizen02 Aug
Lowassa ready for Chadema Ikulu ticket
10 years ago
VijimamboMbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu
10 years ago
Mwananchi23 Feb
HARAKATI: Mbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu
10 years ago
Vijimambo13 Mar
JANUARY MAKAMBA SIFA LUKUKI ALIZONAZO NA CHANGAMOTO ZA KUINGIA IKULU
![](http://api.ning.com/files/YIi6je0KpJOdD3LfO4aYXSjAo4B*73eWcUNVG7lYAfgvLNVNeqckE2FJ1q64khqcIjpvlM8CC0tQ6UfedhU8n4mtHZlk7W9I/januarymakamba.jpg?width=650)
MWAKA mmoja uliopita nilikutana na mwanasiasa kijana January Yusuf Makamba na kumuuliza kama ana wazo la kugombea urais; jibu lake lilikuwa ni: “Ni wazo sahihi.”
Sikumwelewa alimaanisha nini, lakini habari zilizopo mtaani hivi sasa kuwa anakusudia kuchukua fomu za kuomba uteuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatimaye kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais nimeelewa kuwa jibu lake wakati ule lilimaanisha; NDIYO.
Ni wazi mtu kuamka na wazo la aina hii, kwamba na...