Lowassa: Masikini hafai kuingia Ikulu
MGOMBEA anayewania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, Edward Lowassa jana alifanikiwa kupata wanachama 22,750 wa kumdhamini mkoani Singida na kusisitiza anaomba kwenda Ikulu ili amalize umasikini unaowakabili Watanzania, huku akisema Watanzania wasichague kiongozi masikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3v6LzW0UOPSx92DfQ0ScrpqMsIVoFBStF0khHgPv3e9PGnIkS2T8a0uf5yQdeV8IGpaoIUWc2HCHgj69fxmg*lD/r.jpg)
LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfaa5wASNvBc6RzQ-5Rcl9Zj8eYZyZZNF*ldkZluYyTxnkr6KaVvfC1IHXi8zXc0BuGIzhwLXwjU2tOW9sj7Muy/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg?width=650)
MAKONDA: LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA WALA MWENYEKITI WA CCM!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais
Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]
The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mkakati wa Chadema kuingia Ikulu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2654854/highRes/967769/-/maxw/600/-/ox2c9jz/-/chadema_clip.jpg)