Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
Sasa ni rasmi, waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema. Mwanasiasa huyo mkongwe na ambaye amekuwa gumzo ndani ya CCM, alikitosa chama hicho na kujiunga na upinzani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
10 years ago
Habarileo17 Jun
Lowassa: Masikini hafai kuingia Ikulu
MGOMBEA anayewania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, Edward Lowassa jana alifanikiwa kupata wanachama 22,750 wa kumdhamini mkoani Singida na kusisitiza anaomba kwenda Ikulu ili amalize umasikini unaowakabili Watanzania, huku akisema Watanzania wasichague kiongozi masikini.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
10 years ago
Vijimambo05 Mar
Escrow: Gurumo wa Ikulu jeuri.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Shabani-05March2015.jpg)
Mnikulu, Shaban Gurumo, amekiri kupokea mgawo wa zaidi ya Sh. milioni 80.8 kutoka kwa mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering and Marketing, James Rugemalira, unaodaiwa kuwa ni sehemu ya zaidi ya Sh. bilioni 200 zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), lakini akasema hata kama asingepata, angeweza kutatua shida zake kwa...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Jeuri ya Ukawa
*Waainisha watakapopata fedha za kutoa elimu bure, kuziba pengo la bajeti watakapopunguza kodi ya mshahara kutoka asilimia 18 hadi tisa.
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
BAADA ya ahadi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ya kutoa elimu bure kwenye ngazi zote na kupunguza kodi ya mishahara kutoka asilimia 18 hadi tisa, kubezwa kwamba haitekelezeki, umoja huo umeeleza ilipopata jeuri ya ahadi hiyo baada ya kuainisha vyanzo vya mapato watakavyotumia.
Akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi03 May
Lowassa, Membe, Pinda waonyeshana jeuri ya fedha Z’bar
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mkakati wa Chadema kuingia Ikulu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2654854/highRes/967769/-/maxw/600/-/ox2c9jz/-/chadema_clip.jpg)
10 years ago
VijimamboMbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu