Jeuri ya Ukawa
*Waainisha watakapopata fedha za kutoa elimu bure, kuziba pengo la bajeti watakapopunguza kodi ya mshahara kutoka asilimia 18 hadi tisa.
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
BAADA ya ahadi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ya kutoa elimu bure kwenye ngazi zote na kupunguza kodi ya mishahara kutoka asilimia 18 hadi tisa, kubezwa kwamba haitekelezeki, umoja huo umeeleza ilipopata jeuri ya ahadi hiyo baada ya kuainisha vyanzo vya mapato watakavyotumia.
Akizungumza na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Jeuri ya Sitta
WAKATI Bunge Maalum la Katiba likianza mjadala wa jumla kwa wenyeviti wa Kamati kuwasilisha taarifa za wajumbe leo, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta ametamba kuwa, Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa...
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Jeuri ya fedha Yanga
MWALI IBRAHIM NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga, imeonyesha jeuri ya fedha baada ya kuamua kufunga hoteli watakayofikia mjini Bulawayo kwa siku mbili ili kukwepa kufanyiwa hujuma na wenyeji wao hao.
Uongozi wa klabu hiyo ambao haukutaka kuweka wazi jina la hoteli hiyo, umepanga kutokuruhusu mteja mwingine yeyote kuingia hotelini hapo, zaidi ya wachezaji na benchi la ufundi pekee wakihudumiwa na wahudumu wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Wawekezaji jeuri wasivumiliwe
KWA muda mrefu hapa Zanzibar zimesikika taarifa za kusikitisha za wanawake kuonewa, kubaguliwa na kubakwa, lakini ni wachache wanaofanya hivyo huwajibishwa kisheria. Sababu tunazoelezwa za kushindwa kuwatia hatiani wahalifu hao...
11 years ago
GPLJEURI NYINGINE YA DIDA!
11 years ago
GPLKAJALA AONESHA JEURI YA MAGARI
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
Ndende Aonyesha Jeuri ya Mkwanja
MUIGIZAJI mkongwe wa filamu Bongo Hamisi Ndende amemzawadia mkewe gari kama shukrani kukubali kuolewa naye na kumzalia mtoto wa kike Hamida, msanii huyo alimtuza gari aina ya Paso mkewe Chau Uledi, katika shereha za harusi iliyofanyika hivi karibuni.
“Mara nyingi katika ndoa zawadi hutolewa na kama kamati au wazazi lakini mimi kwa upendo wangu nimeamua kumzawadia mke wangu zawadi ya gari mimi kama mimi kama shukrani kwa mke wangu kudumisha mapenzi yetu,” Ndende.
Ndende anasema kuwa...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jeuri ya Yanga yaitesa Cecafa
10 years ago
GPLWEMA AZIMA JEURI YA KAJALA