Jeuri ya Sitta
WAKATI Bunge Maalum la Katiba likianza mjadala wa jumla kwa wenyeviti wa Kamati kuwasilisha taarifa za wajumbe leo, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta ametamba kuwa, Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Sep
Jeuri ya Ukawa
*Waainisha watakapopata fedha za kutoa elimu bure, kuziba pengo la bajeti watakapopunguza kodi ya mshahara kutoka asilimia 18 hadi tisa.
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
BAADA ya ahadi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ya kutoa elimu bure kwenye ngazi zote na kupunguza kodi ya mishahara kutoka asilimia 18 hadi tisa, kubezwa kwamba haitekelezeki, umoja huo umeeleza ilipopata jeuri ya ahadi hiyo baada ya kuainisha vyanzo vya mapato watakavyotumia.
Akizungumza na...
11 years ago
GPL
JEURI NYINGINE YA DIDA!
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Jeuri ya fedha Yanga
MWALI IBRAHIM NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga, imeonyesha jeuri ya fedha baada ya kuamua kufunga hoteli watakayofikia mjini Bulawayo kwa siku mbili ili kukwepa kufanyiwa hujuma na wenyeji wao hao.
Uongozi wa klabu hiyo ambao haukutaka kuweka wazi jina la hoteli hiyo, umepanga kutokuruhusu mteja mwingine yeyote kuingia hotelini hapo, zaidi ya wachezaji na benchi la ufundi pekee wakihudumiwa na wahudumu wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Wawekezaji jeuri wasivumiliwe
KWA muda mrefu hapa Zanzibar zimesikika taarifa za kusikitisha za wanawake kuonewa, kubaguliwa na kubakwa, lakini ni wachache wanaofanya hivyo huwajibishwa kisheria. Sababu tunazoelezwa za kushindwa kuwatia hatiani wahalifu hao...
11 years ago
GPL
MASTAA WAONESHANA JEURI YA FEDHA
11 years ago
GPL
KAJALA AONESHA JEURI YA MAGARI
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Azam yaleta jeuri Zanzibar
11 years ago
GPL
RAY AONESHA JEURI YA FEDHA
11 years ago
GPL
Yanga yaonyesha jeuri ya fedha