Lowassa, Membe, Pinda waonyeshana jeuri ya fedha Z’bar
>Hatimaye makada wa CCM wanaotajwa kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano, juzi walipata nafasi ya kutunishiana misuli baada ya kualikwa kuchangia mfuko wa maendeleo wa mkoa mpya wa CCM wa Magharibi visiwani hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Jeuri ya fedha Yanga
MWALI IBRAHIM NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga, imeonyesha jeuri ya fedha baada ya kuamua kufunga hoteli watakayofikia mjini Bulawayo kwa siku mbili ili kukwepa kufanyiwa hujuma na wenyeji wao hao.
Uongozi wa klabu hiyo ambao haukutaka kuweka wazi jina la hoteli hiyo, umepanga kutokuruhusu mteja mwingine yeyote kuingia hotelini hapo, zaidi ya wachezaji na benchi la ufundi pekee wakihudumiwa na wahudumu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Ls9QcodM2cHTd8d**l8GlOO9wqozMpVGaKkHGNC0r6Mjw4lzMHe7sf*YtorN7pJNKYRZEjs-XozAERC*Vfqvreh/mastaajeuli.jpg)
MASTAA WAONESHANA JEURI YA FEDHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDN7TW7Uf*SZzK3zziDyoujlWKEZZaR5Mx1dyHr5k0yjDxEnCn6if4sW1J3uGE9A76p51cMVe6dph6nbFzYCWQOH/wemaB.jpg?width=650)
WEMA JEURI YA FEDHA KWISHA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZV8ZqIUQ2V37bR2BuYZVuGG9Ns-g7qw4scQssr98khA2p-qBevO9Z1H2TMmcFjHrPlndHyDKaOLrBtQGL5lkJb/yanga.jpg?width=650)
Yanga yaonyesha jeuri ya fedha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5xAviDDYktbIqnOA60UCxD2ou9KaKsl5Mo5WFHTdmWJGDiEyIEQLjIAvpYp8LsPKRfLCN6hfDQaiL5spAnfFo1/ray.jpg?width=650)
RAY AONESHA JEURI YA FEDHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wFSeyrSyaR0ihFz0ON1TsHZLVm7zVXrXNefg9aiFsivRqYPoOCkbjNP1DcGNxLmfFvJ*MoS8Y*2UNZ5LDO4W-ze/zari.jpg)
HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Lowassa anavyowapa Ukawa jeuri kuingia Ikulu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvt7q3UVG*cs-Dw1FdhPe4Tm5RSGci7w4WwofDSapwGbdJUfmsvHOfQV7B-0kbuW1oHhDC4WzDSUjIVyspySnPSH/1.jpg)
JEURI YA FEDHA: APATA AJALI NA LAMBORGHINI YA MIL 675, ASEMA ATANUNUA NYINGINE KESHO YAKE
10 years ago
Habarileo28 Jun
Membe: Pinda ananinyima usingizi
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia anaomba CCM impitishe kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu, Bernard Membe amekiri kwamba katika kinyang’anyiro cha urais ndani CCM, mtu anayemnyima usingizi ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.