Membe: Pinda ananinyima usingizi
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia anaomba CCM impitishe kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu, Bernard Membe amekiri kwamba katika kinyang’anyiro cha urais ndani CCM, mtu anayemnyima usingizi ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 May
Lowassa, Membe, Pinda waonyeshana jeuri ya fedha Z’bar
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Lowassa: Msikose usingizi
Lowassa: Msikose usingizi
*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa
*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila
NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.
Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39f1gBndEYFvVqueu1GLiHKkh*40Exyrq2HS5cXrU46y2Ebif3DJYSXQ74ADQQiXh7Zb1-e0Z2JFFuW0vbVDK3ah/njemba.jpg?width=650)
CHEZEA USINGIZI WEWE!
11 years ago
Habarileo21 Jun
JK: Bunge la Katiba halininyimi usingizi
RAIS Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali, uliotawala Bunge Maalumu la Katiba, kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba mpya, ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Vitu vinavyokosesha watu usingizi
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Al Ahly yamnyima usingizi Hans
9 years ago
Bongo504 Sep
Video: Tarsis Masela — Usingizi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Tyx6FS0AhetMdry2kFdoKjQ7J4w1q-TlVES90LfH3Tq4i6m4*UjSWp-VONzfIMbrkV5mo1a3D78VuQW7SjkXf7nVcuexxW0/FAIZA.jpg)
MTOTO AMKATISHA USINGIZI FAIZA
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mwakyembe- Mafuriko yananinyima usingizi
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema hapati usingizi kufuatia kutokea mafuriko ya yanayoharibu njia ya reli, hasa eneo la Godegode wilayani Mpwapwa Mkoa wa Dodoma.