Mwakyembe- Mafuriko yananinyima usingizi
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema hapati usingizi kufuatia kutokea mafuriko ya yanayoharibu njia ya reli, hasa eneo la Godegode wilayani Mpwapwa Mkoa wa Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
11 years ago
GPL
CHEZEA USINGIZI WEWE!
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Lowassa: Msikose usingizi
Lowassa: Msikose usingizi
*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa
*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila
NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.
Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...
9 years ago
Mtanzania28 Nov
UJAUZITO WAMNYIMA KIM USINGIZI
NEW YORK, MAREKANI
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Kim Kardashian, amesema kwa hatua aliyofikia anapata maumivu
ya tumbo wakati wa kulala kiasi cha kukosa usingizi.
Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili, baadaye Desemba, mwaka huu na mume wake Kanye West, lakini kutokana na hatua ambayo ujauzito wake umefikia, anadai inampa usumbufu mkubwa.
“Natarajia kupata mtoto wa pili hivi karibuni, lakini kwakweli kwa sasa napata maumivu ya tumbo wakati wa kulala, hii ni dalili ya kuwa siku...
11 years ago
Habarileo21 Jun
JK: Bunge la Katiba halininyimi usingizi
RAIS Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali, uliotawala Bunge Maalumu la Katiba, kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba mpya, ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Al Ahly yamnyima usingizi Hans
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
‘Ukahaba UDOM ulininyima usingizi’
KASHFA ya ukahaba iliyokuwa inakikabili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na maandamano na migomo, vimekuwa vikimnyima usingizi Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Idris Kikula. Profesa Kikula alibainisha hayo...
10 years ago
Mtanzania22 Sep
Yanga yamnyima usingizi Kerr
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.
Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.
Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...
10 years ago
Bongo504 Sep
Video: Tarsis Masela — Usingizi