Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yamnyima usingizi Kerr

kerr kazini simba 34JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.

Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.

Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Al Ahly yamnyima usingizi Hans

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema haifikirii Komorozine ya Comoro kwani ni timu dhaifu na anachowaza sasa ni jinsi atakavyowakabili mabingwa watetezi Afrika, Al Ahly ya Misri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Club Brugge yamnyima usingizi van Gaal

Louis van Gaal amesema presha ni kubwa mchezo dhidi ya Club Brugge katika hatua ya mtoano ligi ya mabingwa ulaya.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr atamba Yanga hawatachomoka

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema amefurahishwa na matokeo mazuri katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar na kutuma salamu Yanga kuwa anaifahamu hivyo hawatachomoka katika mchezo ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ang’aka Kessy kutakiwa Yanga

KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr ameutaka uongozi wa timu hiyo kuhakikisha unamwongezea mkataba beki wake wa kulia Hassan Kessy kutokana na mchango mkubwa aliokuwa nao.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga

Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr anacheza na nyakati na ni mjanja kweli kweli.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam

Adui yako mwombee njaa! Ndivyo ilivyo kwa kocha wa Simba, Dylan Kerr aliposhangilia sare ya 1-1 baina ya Yanga na Azam juzi akisema imenogesha mbio zake kusaka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maumivu yamnyima ushindi Hyvon

Mwanariadha wa Kenya Hyvon Ngetich ameshindwa kutwaa ubigwa wa mbio za marathoni ya Austin huko Texas.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani