Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kerr hawazi chochote ni Azam
KOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.
Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Ni mtihani wa Kerr kwa Azam
MSHAMU NGOJWIKE
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.
Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...
9 years ago
Habarileo14 Dec
Bahati yao Azam -Kerr
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.
9 years ago
TheCitizen08 Dec
Kerr upbeat as Azam clash looms
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Yanga yamnyima usingizi Kerr
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.
Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.
Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...
9 years ago
Habarileo22 Sep
Kerr atamba Yanga hawatachomoka
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema amefurahishwa na matokeo mazuri katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar na kutuma salamu Yanga kuwa anaifahamu hivyo hawatachomoka katika mchezo ujao.
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga
9 years ago
Habarileo08 Nov
Kerr ang’aka Kessy kutakiwa Yanga
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr ameutaka uongozi wa timu hiyo kuhakikisha unamwongezea mkataba beki wake wa kulia Hassan Kessy kutokana na mchango mkubwa aliokuwa nao.