Kerr upbeat as Azam clash looms
Simba SC head coach Dylan Kerr is unfazed by the threat Azam FC poses, exuding confidence that his team will carry the day come Saturday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Aug
Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kerr hawazi chochote ni Azam
KOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.
Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Ni mtihani wa Kerr kwa Azam
MSHAMU NGOJWIKE
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.
Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...
9 years ago
Habarileo14 Dec
Bahati yao Azam -Kerr
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam
9 years ago
TheCitizen17 Oct
Yanga, Azam in top of table clash
9 years ago
TheCitizen22 Aug
Daggers drawn as Yanga, Azam clash
10 years ago
TheCitizen06 May
SOCCER: High stakes as Yanga, Azam clash
11 years ago
Daily News30 May
PM upbeat on national economy, says we can borrow
Daily News
Daily News
THE country's economy is healthy and the country can continue borrowing from international agencies, the Prime Minister, Mizengo Pinda told the National Assembly. The Premier also said that the country was in good position regarding debt and that it was ...