Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerr upbeat as Azam clash looms

Simba SC head coach Dylan Kerr is unfazed by the threat Azam FC poses, exuding confidence that his team will carry the day come Saturday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr hawazi chochote ni Azam

dylanker-haiphongKOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.

Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...

 

9 years ago

Mtanzania

Ni mtihani wa Kerr kwa Azam

simba-vs-azamMSHAMU NGOJWIKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.

Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...

 

9 years ago

Habarileo

Bahati yao Azam -Kerr

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam

Adui yako mwombee njaa! Ndivyo ilivyo kwa kocha wa Simba, Dylan Kerr aliposhangilia sare ya 1-1 baina ya Yanga na Azam juzi akisema imenogesha mbio zake kusaka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga, Azam in top of table clash

All roads will lead to the National Stadium this evening as the Vodacom Premier League resumes.

 

9 years ago

TheCitizen

Daggers drawn as Yanga, Azam clash

Azam FC will be hoping for a change in fortune when they face off with Young Africans in the Community Shield showdown at the National Stadium today.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: High stakes as Yanga, Azam clash

>Ambitious Azam FC go head-to-head with in-form Young Africans in the Mainland Premier League this afternoon, with coach George “Best” Nsimbe eager to bounce back from Sunday’s defeat to Simba SC.

 

11 years ago

Daily News

PM upbeat on national economy, says we can borrow


Daily News
PM upbeat on national economy, says we can borrow
Daily News
THE country's economy is healthy and the country can continue borrowing from international agencies, the Prime Minister, Mizengo Pinda told the National Assembly. The Premier also said that the country was in good position regarding debt and that it was ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani