Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerr hawazi chochote ni Azam

dylanker-haiphongKOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.

Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.

 

9 years ago

Habarileo

Bahati yao Azam -Kerr

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.

 

9 years ago

Mtanzania

Ni mtihani wa Kerr kwa Azam

simba-vs-azamMSHAMU NGOJWIKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.

Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Kerr upbeat as Azam clash looms

Simba SC head coach Dylan Kerr is unfazed by the threat Azam FC poses, exuding confidence that his team will carry the day come Saturday.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam

Adui yako mwombee njaa! Ndivyo ilivyo kwa kocha wa Simba, Dylan Kerr aliposhangilia sare ya 1-1 baina ya Yanga na Azam juzi akisema imenogesha mbio zake kusaka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Keissy: Sitachangia chochote bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ally Keissy amesema hataomba kuchangia katika mjadala wa Katiba kwa sababu hakubaliani na mwenendo wake.

 

9 years ago

Mtanzania

Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote

harunaaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake

MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.

Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva: Logarusic hatudai chochote

Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hawadaiwi chochote na aliyekuwa kocha wao  Zdravko  Logarusic anashangazwa na mashtaka aliyopeleka kwenye Shirikisho la Soka Nchini (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Salim: Chama chochote kinaweza kushika dola

>Waziri mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika dola endapo kitafuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani