Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Salim: Chama chochote kinaweza kushika dola

>Waziri mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika dola endapo kitafuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia  akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto: ACT hatuna uadui na chama chochote

ZITTO NA AGATHA CHARLES
KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT- Tanzania Zitto Kabwe amesema hawana uadui na chama chochote, bali tatizo ni mfumo uliopo.
Zitto aliyasema hayo jana katika ukumbi wa St. Peter’s Cardinal Rugambwa Osterbay Dar es Salaam, baada ya kumalizika kutangazwa matokeo ya nafasi za juu za uongozi ndani ya chama hicho.
Alisema wanachama na viongozi wa ACT wanapaswa kuingia msituni na kufyeka kwa ajili ya kukijenga chama hicho na si kupoteza muda kwa kugombana na wengine.
“Hatuna uadui...

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo: Sina mpango kujiunga chama chochote

hassan-nassor-moyoNa Elizabeth Hombo, aliyekuwa Tanga

MWASISI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mapinduzi ya Zanzibar, Nassor Hassan Moyo amesema hafikirii kujiunga na chama chochote cha siasa, baada ya kuvuliwa uanachama wa CCM.

Wiki iliyopita, Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri alitangaza kumfukuza mwanasiasa huyo mkongwe kwa madai ya kukisaliti kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chake.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA nyumbani kwake...

 

9 years ago

Michuzi

Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi

Na Ally Daud-Maelezo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha  kampeni  badala yake waelekeze nguvu na  juhudi  zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid  (pichani) alisema kuwa  vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .


“Vijana...

 

10 years ago

Vijimambo

PROGRAMU YA MAFUNZO KUKIANDAA CHAMA KUSHINDA DOLA, KUONGOZA SERIKALI

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalim akizindua mafunzo ya timu za kampeni, viongozi wa chama na viongozi wa serikali za mitaa wanaotokana na CHADEMA kwa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Njombe, Ruvuma, Rukwa, Mbeya na Iringa) ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya chama kwenda kushinda dola na kuongoza serikali katika uchaguzi mkuu ujao

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri

Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014. Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election

For journalists facing challenges of objectivity, impartiality and balance reporting are a daily encounter, but there is no test of professionalism greater than that posed in the heat and pressure of a bitterly-fought political election.

 

9 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights

For many years after the 1964 armed uprising that led to the overthrow of sultan Jemshid bin Abdulla El Busaidy of Omani dynasty and his coalition government of the Zanzibar Nationalist Party (ZNP) and the Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) Zanzibar was known as notorious for human rights violations.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani