Dk Salim: Chama chochote kinaweza kushika dola
>Waziri mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika dola endapo kitafuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Zitto: ACT hatuna uadui na chama chochote
NA AGATHA CHARLES
KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT- Tanzania Zitto Kabwe amesema hawana uadui na chama chochote, bali tatizo ni mfumo uliopo.
Zitto aliyasema hayo jana katika ukumbi wa St. Peter’s Cardinal Rugambwa Osterbay Dar es Salaam, baada ya kumalizika kutangazwa matokeo ya nafasi za juu za uongozi ndani ya chama hicho.
Alisema wanachama na viongozi wa ACT wanapaswa kuingia msituni na kufyeka kwa ajili ya kukijenga chama hicho na si kupoteza muda kwa kugombana na wengine.
“Hatuna uadui...
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Mzee Moyo: Sina mpango kujiunga chama chochote
Na Elizabeth Hombo, aliyekuwa Tanga
MWASISI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mapinduzi ya Zanzibar, Nassor Hassan Moyo amesema hafikirii kujiunga na chama chochote cha siasa, baada ya kuvuliwa uanachama wa CCM.
Wiki iliyopita, Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri alitangaza kumfukuza mwanasiasa huyo mkongwe kwa madai ya kukisaliti kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chake.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA nyumbani kwake...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s72-c/download.jpg)
Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s320/download.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha kampeni badala yake waelekeze nguvu na juhudi zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid (pichani) alisema kuwa vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .
“Vijana...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QdyumWnic5o/VTgnUY_oT-I/AAAAAAAASNM/sfZBrUIMjRM/s72-c/IMG_20150419_123556.jpg)
PROGRAMU YA MAFUNZO KUKIANDAA CHAMA KUSHINDA DOLA, KUONGOZA SERIKALI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdyumWnic5o/VTgnUY_oT-I/AAAAAAAASNM/sfZBrUIMjRM/s640/IMG_20150419_123556.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EfBom7_nuY8/VTgnWMOYs4I/AAAAAAAASNU/pv9mUmy1_uI/s640/IMG_20150419_123521.jpg)
11 years ago
MichuziDkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D8HtEWABE5w/U89vD8hPMgI/AAAAAAAF5DE/h8af4afFBQY/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
TheCitizen02 Aug
SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election
9 years ago
TheCitizen23 Aug
SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights