Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s72-c/download.jpg)
Na Ally Daud-Maelezo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha kampeni badala yake waelekeze nguvu na juhudi zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid (pichani) alisema kuwa vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .
“Vijana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZiIVqaaveA/VWLZqhG4tRI/AAAAAAABPWI/4N5AFcNtmnY/s72-c/tume%2Bya%2Btaifa%2Bya%2Buchaguzi.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/R3JBFzh4sSA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s1600/DSC_0102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_VimAVnaM0/VNydSNlDD-I/AAAAAAAHDUE/iGc03qaDEFY/s1600/DSC_0091.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA JIJINI DAR LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s640/DSC_0102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_VimAVnaM0/VNydSNlDD-I/AAAAAAAHDUE/iGc03qaDEFY/s640/DSC_0091.jpg)
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...
10 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s72-c/IMG_4357.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA MKOANI IRINGA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s1600/IMG_4357.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrwjQa2WTS4/UyAl-HBk_JI/AAAAAAACcJE/SLoGZjxQKIs/s1600/IMG_4401.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Aug
‘Vijana chagueni viongozi wenye maslahi kwa taifa’
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imehimiza vijana kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maslahi kwa taifa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel alitoa mwito huo jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.