TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA JIJINI DAR LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Damian Lubuva akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa JB Belmonte,Jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Julius Malaba na kulia ni Kamishina wa Tume yaTaifa ya Uchaguzi,Prof. Amon Challigha
Sehemu ya Viongozi wa Vyama vya Siasa waliohudhulia Mkutano huo wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Damian Lubuva (hayupo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s1600/DSC_0102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_VimAVnaM0/VNydSNlDD-I/AAAAAAAHDUE/iGc03qaDEFY/s1600/DSC_0091.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s72-c/IMG_4357.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA MKOANI IRINGA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s1600/IMG_4357.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrwjQa2WTS4/UyAl-HBk_JI/AAAAAAACcJE/SLoGZjxQKIs/s1600/IMG_4401.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Mar
10 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/R3JBFzh4sSA/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7uRaXZLgFM/XnjQYnkWe4I/AAAAAAALk2c/phSpignFE2YZoozkoggjwixG_UgMn595ACLcBGAsYHQ/s72-c/85129023-3176-4eaa-9741-f84c3aaa1647.jpg)
NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.
Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) YAONGEZA MUDA WA KUJIANDIKISHA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s640/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)