Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014.
Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D8HtEWABE5w/U89vD8hPMgI/AAAAAAAF5DE/h8af4afFBQY/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgbBeA*R-sCWhF9cLpAXMMAWQgNLv0hqStLWVBPfrVDeuQEM0A0vk5P7-lpEXBbKgCkDYJByVc39mQkOzOcEpJ52/e2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MISRI IKULU, DAR ES SALAAM
11 years ago
MichuziRAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA YA NJE WA UJERUMANI DKT FRANK-WALTER STEIMEIER IKULU LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vdcPWvxaGys/VMJNuEqpIaI/AAAAAAAG_Js/gvZ_Hqm9stI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Dkt. Salim akutana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-vdcPWvxaGys/VMJNuEqpIaI/AAAAAAAG_Js/gvZ_Hqm9stI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE UTURUKI AKUTANA NA RAIS DKT SHEIN LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uturuki
Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki, Ahmet Dovutoglu, aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo, Mei 30, 2014. Katika mazungumzo yao walisisitiza juu ya ushirikiano katika Nyanja mbalimbali baina nchi hizi mbili . Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya Kiserikali iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s72-c/unnamed+(63).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA CHI ZA NJE WA UTURUKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s1600/unnamed+(63).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-feo8bvTrmoQ/UuzRfBNgiWI/AAAAAAAFKGw/qGH7RTShNos/s72-c/unnamed+(63).jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN NA UJUMBE WAKE IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-feo8bvTrmoQ/UuzRfBNgiWI/AAAAAAAFKGw/qGH7RTShNos/s1600/unnamed+(63).jpg)