Dkt. Salim akutana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-vdcPWvxaGys/VMJNuEqpIaI/AAAAAAAG_Js/gvZ_Hqm9stI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU),Dkt. Salim Ahmed Salim akizungumza na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika DRC Balozi Said Djinit ambaye alimtembelea nyumbani kwake jana kusalimiana naye. Balozi Djinit aliwahi kuwa Msaidizi wa Mheshimiwa Salim Ahmed Salim wakati akiongoza OAU.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtPR0WKP7lunmFFCyt785z3ny7uxR5Ra89OHIuh5uvYrqGpZVKcZ4AdCNTuEY8OywYNI51JMuE0f4tXewwRNLqE/1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Ban Ki Moon akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ofisi yake iliyopo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani jana tarehe 24/12/2013. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon akimwonyesha sehemu ya kukaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya kufanya mazungumzo naye.…
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s1600/unnamed.jpg?width=650)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Balozi Tuvako Manongi,akiandika katika kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Nertherlands) kuomboleza familia 298  ambazo maisha yao yamekatishwa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria MH17 kuangushwa nchini Ukraine wiki iliyopita.
Balozi Manongi akiwaombea marehemu…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s72-c/unnamed.jpg)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jana Jumatano ameungana na Mabalozi wengine wanaoziwakilishi Nchi zao katika Umoja wa Mataifa, kutia saini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Netherlandes) katika Umoja wa Mataifa kuwakumbuka watu 298 waliopoteza maisha baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria ya MH17 inayomilikiwa la Shirika la Ndege la Malaysia ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nMAYoYJfkfs/U4nlAtrexGI/AAAAAAAFmvk/YUBNDcWfjmg/s72-c/SG-na-Kikwete1.jpg)
KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA AMPONGERA RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-nMAYoYJfkfs/U4nlAtrexGI/AAAAAAAFmvk/YUBNDcWfjmg/s1600/SG-na-Kikwete1.jpg)
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Mwakilishi wa IFAD nchini
11 years ago
MichuziDkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
9 years ago
VijimamboKaimu Katibu Mkuu azungumza na waandishi wa Habari kuhusu Wiki ya Umoja wa Mataifa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
JAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania