Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva: Logarusic hatudai chochote

Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hawadaiwi chochote na aliyekuwa kocha wao  Zdravko  Logarusic anashangazwa na mashtaka aliyopeleka kwenye Shirikisho la Soka Nchini (TFF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kerr hawazi chochote ni Azam

dylanker-haiphongKOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.

Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...

 

9 years ago

Mtanzania

Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote

harunaaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake

MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.

Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...

 

10 years ago

Mwananchi

Keissy: Sitachangia chochote bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ally Keissy amesema hataomba kuchangia katika mjadala wa Katiba kwa sababu hakubaliani na mwenendo wake.

 

10 years ago

Mtanzania

Vanessa: ‘Team’ hazisaidii chochote kwenye sanaa

VanessaNA JENNIFER ULLEMBO
KUFUATIA malumbano ya ‘team’ kwa wasanii wenye ugomvi, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Vanessa Mdee ‘V Money’ ameibuka na kukemea makundi hayo akidai hayana faida yoyote kwa jamii na kwa sanaa za wasanii husika.
Alisema makundi hayo yanaharibu sifa ya msanii, kazi zake na yanaongeza chuki badala ya kuleta furaha na mafanikio ya msanii.
“Kama mashabiki wanapenda kazi zangu waendelee kunipenda na waonyeshe ushirikiano nami kwa wasanii wengine, lakini masuala ya timu, timu...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Salim: Chama chochote kinaweza kushika dola

>Waziri mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika dola endapo kitafuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto: ACT hatuna uadui na chama chochote

ZITTO NA AGATHA CHARLES
KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT- Tanzania Zitto Kabwe amesema hawana uadui na chama chochote, bali tatizo ni mfumo uliopo.
Zitto aliyasema hayo jana katika ukumbi wa St. Peter’s Cardinal Rugambwa Osterbay Dar es Salaam, baada ya kumalizika kutangazwa matokeo ya nafasi za juu za uongozi ndani ya chama hicho.
Alisema wanachama na viongozi wa ACT wanapaswa kuingia msituni na kufyeka kwa ajili ya kukijenga chama hicho na si kupoteza muda kwa kugombana na wengine.
“Hatuna uadui...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.

Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunahitaji mabalozi kuliko kipindi chochote kile

Sifa ya Tanzania kuwa kisiwa cha amani inatoweka pole pole na kwa hakika tunahitaji utashi wa kisiasa na uamuzi mgumu kurudisha mfumo wa uongozi wa kuanzia ngazi ya nyumba kumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani