Vanessa: ‘Team’ hazisaidii chochote kwenye sanaa
NA JENNIFER ULLEMBO
KUFUATIA malumbano ya ‘team’ kwa wasanii wenye ugomvi, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Vanessa Mdee ‘V Money’ ameibuka na kukemea makundi hayo akidai hayana faida yoyote kwa jamii na kwa sanaa za wasanii husika.
Alisema makundi hayo yanaharibu sifa ya msanii, kazi zake na yanaongeza chuki badala ya kuleta furaha na mafanikio ya msanii.
“Kama mashabiki wanapenda kazi zangu waendelee kunipenda na waonyeshe ushirikiano nami kwa wasanii wengine, lakini masuala ya timu, timu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Shule bila viwango hazisaidii watoto kufanikiwa
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
Hemedy PHD Akerwa na Uadui Kwenye Sanaa
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Hemmed Suleiman ‘Hemedy PHD’ambaye hivi karibuni atatamba mtaani na filamu ya Fecebook Profile ameweka waz juu ya kukerwa na namna ushabiki wa sanaa nchini unavyopelekwa kwenye uadui na sio ushindani kam ilivyokuwa miaka michache iliyopita.
“Kiukweli kwenye sanaa tumeanza kwenda kwenye njia mbaya sana,aina hii ya ushabiki wa mtindo wa uadui itatupeleka pabaya sana..Mashabiki wa Ali Kiba , Wema sepetu na Diamond wanapaswa kuliona mapema tatizo hili,”...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun39NFztjmgXLbOEUUS-ZvR7SnUqDN-Fyf9xJUNZShxHpVyvr7EpDlrCuWbyIeDURHgviQfTwNx-4aS*xjHcGITp/download.jpg?width=650)
DUDE; USIINGIZE SANAA KWENYE NDOA YAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Fatuma Makongoro (Bi Mwenda), Msanii aliyetukuka kwenye sanaa ya uigizaji Tanzania
Bi Mwenda ni mzaliwa wa Mara Wilaya ya Bunda kijiji cha Ikwizu Nyamuswa, ni mtoto wa Mtemi Makongoro, ambaye alikuwa rafiki na ndugu wa yamini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Anasema katika maisha yake wakati yupo darasa la tano mpaka anamaliza alikuwa akiishi Ikulu jijini Dar es Salaam, na alihamishiwa Shule ya Msingi Kinondoni iliyo karibu na Mahakama ya Kinondoni. Wakati huo wenzake walikuwa wakisoma Shule ya Mwenge na kupelekwa na gari.
Bi Mwenda, anasema alijiingiza kwenye michezo...
10 years ago
MichuziWarsha ya Sanaa na Harakati kwenye Jamii yaanza kufanyika jijini Dar es Salaam
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black
10 years ago
GPLWARSHA YA SANAA NA HARAKATI KWENYE JAMII YAANZA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Bongo503 Apr
Vanessa Mdee atua Lagos, kutumbuiza kwenye Gidi Culture Festival Jumamosi hii