Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji mabalozi kuliko kipindi chochote kile

Sifa ya Tanzania kuwa kisiwa cha amani inatoweka pole pole na kwa hakika tunahitaji utashi wa kisiasa na uamuzi mgumu kurudisha mfumo wa uongozi wa kuanzia ngazi ya nyumba kumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa hali ilipofika, kumpata mmoja tunahitaji hekima zaidi kuliko vigezo

Inaonekana kuna kila dalili kwamba tunaweza kufika arobaini, namaanisha idadi ya watu ambao wanatangaza nia kupitia Chama cha Mapinduzi. Idadi kubwa ikiwa ni pamoja na mawaziri ambao wako katika Serikali inayomaliza muda wake, wabunge, na makada wengine wa CCM.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AWAAGA MABALOZI WALIOMALIZA KIPINDI CHA KUWAKILISHA NCHI ZAO JUMUIYA YA ULAYA

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) akimkabidhi zawadi Balozi wa Togo Jumuiya ya Ulaya Balozi Kodjo Sagbo kwa niaba ya Kamati ya Mabalozi wa ACP. Balozi wa Togo amemaliza kipindi chake cha kuwakilisha nchi yake Jumuiya ya Ulaya. Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kutoka kulia) akiwa katika picha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali hupenda kujivunia kile alichokifanya

Mjasiriamali ni mtu wa kufanya kazi kwa tija. Hawezi kupoteza muda wake pasipo sababu za msingi na pia hapendi kupotezewa muda wake. Mjasiriamali ni mtu mwenye kuona mbali na hutayarisha mikakati yake yenye kuona mbali.

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali yakifunga kile chuo 'feki' cha Kilimo

Kulia ni Richard Mchomvu mkuu wa Polisi wilaya ya Mbeya akiwa na jalada la uchunguzi kuhusiana na chuo hicho.
Serikal imekifunga Chuo cha Kilimo na Mifugo cha Nice Dream kilichopo mtaa wa Mapelele Kata ya Ilemi Jijini na kuwataka wanachuo wa chuo hicho kuondoka chuoni hapo baada ya siku tatu.

Agizo hilo lilitolewa na Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Bi. Quip Mbeyela aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Daktari Norman Sigala na kwamba Serikali itagharamia chakula kwa siku tatu ambapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Keissy: Sitachangia chochote bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ally Keissy amesema hataomba kuchangia katika mjadala wa Katiba kwa sababu hakubaliani na mwenendo wake.

 

9 years ago

Mtanzania

Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote

harunaaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake

MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.

Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani