Tunahitaji mabalozi kuliko kipindi chochote kile
Sifa ya Tanzania kuwa kisiwa cha amani inatoweka pole pole na kwa hakika tunahitaji utashi wa kisiasa na uamuzi mgumu kurudisha mfumo wa uongozi wa kuanzia ngazi ya nyumba kumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Kwa hali ilipofika, kumpata mmoja tunahitaji hekima zaidi kuliko vigezo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yhnzwe_roIo/VaNMjXnQQHI/AAAAAAAHpP0/khTHknzd7ZQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gub8GDn6NDY/U5rTV96A-8I/AAAAAAAFqVc/LygYEg6cqB8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
BALOZI KAMALA AWAAGA MABALOZI WALIOMALIZA KIPINDI CHA KUWAKILISHA NCHI ZAO JUMUIYA YA ULAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gub8GDn6NDY/U5rTV96A-8I/AAAAAAAFqVc/LygYEg6cqB8/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1g0IW7-zpZs/U5rXGFvkFZI/AAAAAAAFqV0/jWcU2mJJe48/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Mjasiriamali hupenda kujivunia kile alichokifanya
10 years ago
VijimamboSerikali yakifunga kile chuo 'feki' cha Kilimo
Serikal imekifunga Chuo cha Kilimo na Mifugo cha Nice Dream kilichopo mtaa wa Mapelele Kata ya Ilemi Jijini na kuwataka wanachuo wa chuo hicho kuondoka chuoni hapo baada ya siku tatu.
Agizo hilo lilitolewa na Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Bi. Quip Mbeyela aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Daktari Norman Sigala na kwamba Serikali itagharamia chakula kwa siku tatu ambapo...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy: Sitachangia chochote bungeni
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake
MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.
Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...