Kwa hali ilipofika, kumpata mmoja tunahitaji hekima zaidi kuliko vigezo
Inaonekana kuna kila dalili kwamba tunaweza kufika arobaini, namaanisha idadi ya watu ambao wanatangaza nia kupitia Chama cha Mapinduzi. Idadi kubwa ikiwa ni pamoja na mawaziri ambao wako katika Serikali inayomaliza muda wake, wabunge, na makada wengine wa CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tunahitaji mabalozi kuliko kipindi chochote kile
10 years ago
VijimamboHALI YA HEWA YAENDELEA KUWANOA WATAALAMU WAKE KATIKA KUKIDHI VIGEZO VYA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO)
IMG0086: Mgeni rasmi, Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt. Agnes Kijazi katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya huduma za hali ya hewa kwa ajili ya usafiri wa anga kutoka Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma,Kulia kwake mwenye tai nyekundu ni Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma Bw. Joseph...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
UTAFITI : Ebola inaenea haraka zaidi kwa wanawake kuliko wanaume
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
9 years ago
Bongo525 Nov
Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
![mavoko new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mavoko-new-300x194.jpg)
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Utafiti: Hali ya uchumi ya mtu mmojammoja nchini ni mbaya kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita
9 years ago
MichuziBayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekima
Tukio hilo liliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bayport, John Mbaga, pamoja na zaidi ya...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Repoa: Wananchi hupata taarifa za Ukimwi zaidi kuliko rushwa